Maandamano yaingia siku ya 2 Malaysia
Maelfu ya watu wanashiriki katika siku ya pili ya maandamano ya kupinga serikali kwenye mji mkuu wa Malaysia Kuala Lumpur.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano yaingia siku ya pili Burundi
Wanaharakati nchini Burundi wameendelea na maandamano wakipinga uteuzi wa Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Hukumu ya Pistorius yaingia siku ya Nne
Usikilizaji wa hukumu ya Oscar Pistorius waingia siku ya Nne,huku upande wa mashitaka ukitaka afungwe jela
11 years ago
BBCSwahili01 May
Vurugu, maandamano siku ya May Day
Maandamano na vurugu zimefanyika leo siku ya wafanyakazi duniani nchini Uturuki na maeneo mengine duniani.
10 years ago
MichuziMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
10 years ago
BBCSwahili02 May
Maandamano yasitishwa kwa siku 2 Burundi
Waandamanaji nchini Burundi wanaompinga rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu wameagiza kusitishwa kwa maandamano hayo
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Maandamano makubwa Siku ya Wanawake leo
Siku ya Kimataifa ya Wanawake, inaadhimishwa kitaifa mkoani Morogoro leo, wakati mjini Dar es Salaam, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete atapokea maandamano ya wanawake kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.
10 years ago
GPLMAONYESHO YA SIKU YA WANAWAKE YA MKOA WA MOROGORO YAINGIA DOSARI BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA
 Mkurugenzi wa manispaa ya Morogoro, Bi. Theresia Muhongo akisikiliza maelezo kutoka kwa Haji Sajilo ambaye ni Kiongozi msimamizi wa Mipango wa NGO,s ya MOYODEI wakati alipotembelea kwenye mabanda yaliyoharibwa vibaya na mvua iliyonyesha jana jioni. Haya mabanda yalikuwa ni kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani iliyotakiwa kuanza leo jumanne lakini kutokana na maafa hayo maonyesho hayo yamesogezwa mpaka tarehe...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s72-c/unnamed+(50).jpg)
Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msYJ3YWtPvM/U3td2kdV3gI/AAAAAAAFj1s/tHA9dwmwKZU/s1600/unnamed+(50).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania