Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUYU HAPA JOHN POMBE MAGUFULI WA MWAKA 1978


Magufuli aliweza ku tweet picha hiyo (iliyopo juu) na Kuandika haya hapa:Dr John Magufuli ‏@MagufuliJP Sep 13
Mwaka 1978 - nikiwa na umri wa miaka 19, Kidato cha Nne katika shule ya Sekondari ya Lake, Mwanza.

Kupitia akaunti yake ya Twitter Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ameweza kushare nasi baadhi ya Memory kubwa aliyonayo katika maisha yake, nayo ni picha yake ya Ujana aliyoipiga akiwa na umri wa miaka 19 akiwa katika shule ya Sekondari ya Lake iliyopo jijini...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk.John Pombe Magufuli akisani kitabu cha wageni baada ya kufika Wizara ya Fedha. ...Akikagua utendaji kazi wa wafanyakazi mbali mbali wizarani hapo. …

 

10 years ago

Michuzi

KUTOKA MAKTABA: JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI SEMINARI YA KATOKE (FOMU ONE) MWAKA 1975

John Pombe Joseph Magufuli alipokuwa kidato cha kwanza katika Seminari ya Katoke mwaka 1975.

 

10 years ago

Raia Mwema

5 years ago

Michuzi

HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

NA MWL FREDERICK J NDAHANI –SINGIDA         Frederickjn@yahoo.com -0757622794


MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...

 

10 years ago

Africanjam.Com

AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV

DR John Pombe Joseph Magufuli was born on October 29, 1959. He holds a PhD in Chemistry from University of Dar es Salaam.He has been a Member of Parliament (MP) for three terms, that is 2010 - 2015, 2005 - 2010 and 2000 - 2005 and has been a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) since 1977.
He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are...

 

9 years ago

Vijimambo

Dr.John Pombe Magufuli’s CV And Anecdotes From Those Who Knows Him


Dr.John Pombe Magufuli-Presidential Candidate (CCM)
Who the heck is Dr. John Pombe Magufuli? I have been asked that question on a number of occasions. The first one came from my Uncle who is not familiar with Tanzanian politics. It was exactly a minute after his name was announced as the official Presidential candidate for CCM. After the contest that included about 34 cadres, our version of GOP (grand old party) had picked a chemist by profession to be the man to beat. The hard fought contest...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Dewji Blog

Rais ni Dkt. John Pombe Magufuli

1x-1

Ni muda mfupi uliopita baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rasmi Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli aliyepata 58.46% dhidi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa 39.97%.

Modewji blog inatoa pongezi kwa Mgombea mweza Mama Samia Suluhu Hassan kwa ushindi huo.

Happy Birthday to you…. Mheshimiwa Rais uwe na siku njema ikiwa leo pia unasheherekea siku...

 

9 years ago

TheCitizen

PROFILE: John Pombe Joseph Magufuli

John Pombe Magufuli was born in Chato on October 29, 1959. He attended his primary school education at Chato Primary School from 1967 to 1984. He then attended his secondary school education at Katoke Seminary and Lake Secondary School between 1975 and 1978. Between 1979 and 1981 Magufuli went to Mkwawa High School for his advanced level secondary school education.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani