HUYU HAPA JOHN POMBE MAGUFULI WA MWAKA 1978
![](http://2.bp.blogspot.com/-sz8H0saFM4c/VfXxyV4_0sI/AAAAAAAA1Ic/yJYDDuKzqmI/s72-c/MAGUFULI.jpg)
Magufuli aliweza ku tweet picha hiyo (iliyopo juu) na Kuandika haya hapa:Dr John Magufuli @MagufuliJP Sep 13
Mwaka 1978 - nikiwa na umri wa miaka 19, Kidato cha Nne katika shule ya Sekondari ya Lake, Mwanza.
Kupitia akaunti yake ya Twitter Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ameweza kushare nasi baadhi ya Memory kubwa aliyonayo katika maisha yake, nayo ni picha yake ya Ujana aliyoipiga akiwa na umri wa miaka 19 akiwa katika shule ya Sekondari ya Lake iliyopo jijini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HAPA KAZI TU: RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA GHAFLA WIZARA YA FEDHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0qhED5wuARk/VbcafS7DHJI/AAAAAAAHsII/6UvgLcZpahk/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
KUTOKA MAKTABA: JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI SEMINARI YA KATOKE (FOMU ONE) MWAKA 1975
![](http://3.bp.blogspot.com/-0qhED5wuARk/VbcafS7DHJI/AAAAAAAHsII/6UvgLcZpahk/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vVWZI3-17Oc/XumunPLz62I/AAAAAAALuKM/VuVJupFVXN4534yKnhz4qh36_46zo47GwCLcBGAsYHQ/s72-c/caaf6326-7ab0-4fa8-8a76-91d9d64c1696.jpg)
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-oVvJkwUlbIg/VaJe084xCRI/AAAAAAAACic/x9S50cc0j3o/s72-c/JOHNMAGUFULI.jpg)
AND THIS IS DR. JOHN POMBE MAGUFULI CV
![](http://2.bp.blogspot.com/-oVvJkwUlbIg/VaJe084xCRI/AAAAAAAACic/x9S50cc0j3o/s400/JOHNMAGUFULI.jpg)
He has held various ministerial positions and currently is serving as the Minister of Works, the position he took up since May 4, 2012 until October 30, 2015 Other ministries he has served are...
9 years ago
Vijimambo24 Sep
Dr.John Pombe Magufuli’s CV And Anecdotes From Those Who Knows Him
![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2015/09/fb05015612e4001f7c0f6a706700fe8a.jpg)
Dr.John Pombe Magufuli-Presidential Candidate (CCM)
Who the heck is Dr. John Pombe Magufuli? I have been asked that question on a number of occasions. The first one came from my Uncle who is not familiar with Tanzanian politics. It was exactly a minute after his name was announced as the official Presidential candidate for CCM. After the contest that included about 34 cadres, our version of GOP (grand old party) had picked a chemist by profession to be the man to beat. The hard fought contest...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/6GhpsYptpwk/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais ni Dkt. John Pombe Magufuli
Ni muda mfupi uliopita baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rasmi Mgombea Urais wa chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.John Pombe Magufuli aliyepata 58.46% dhidi ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa 39.97%.
Modewji blog inatoa pongezi kwa Mgombea mweza Mama Samia Suluhu Hassan kwa ushindi huo.
Happy Birthday to you…. Mheshimiwa Rais uwe na siku njema ikiwa leo pia unasheherekea siku...
9 years ago
TheCitizen24 Oct
PROFILE: John Pombe Joseph Magufuli