Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUYU REHEMA FABIAN MAJANGA

Stori: Mwandishi Wetu
MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi. Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian Picha hiyo ilimuonesha akiwa amejiziba usoni na kuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake ambapo baadhi ya wafuasi wa mtandao huo walimkalisha kwa kumpa za chembe.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

REHEMA FABIAN ANANGWA

Rehema Fabian katika pozi. Stori: Shakoor Jongo
MISS Kiswahili 2008 Bongo, Rehema Fabian amenagwa vibaya na wadau baada kutupia picha za utupu katika mtandao wa Instagram. Wakizungumza na paparazi wetu mara baada ya kuziona picha hizo ambazo zinamuonesha baadhi ya viungo vyake nyeti, mashabiki wa staa huyo walimponda wakidai wamemchoka kwa kupenda kupaisha jina lake kupitia picha hizo chafu. “Anajidhalilisha sana,...

 

11 years ago

GPL

REHEMA FABIAN LAIVU

Stori: Shakoor Jongo
KhAA! Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini China akijitafutia maisha, Rehema Fabian amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu. Miss Kiswahili mwaka 2009, Rehema Fabian, akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu, mnyetishaji wetu ambaye naye yuko nchini humo alisema kuwa kwa sasa mrembo huyo anajiachia na babu...

 

11 years ago

GPL

REHEMA FABIAN APATA GONJWA LILILOMUUA BABA’KE

Stori: Musa Mateja NOOO! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009 Bongo, Rehema Fabian anasumbuliwa na tatizo la maini na mapafu kuharibika, ugonjwa uliomuua baba’ke. Rehema Fabian. Akistorisha na mwanahabari wetu, Rehema alifunguka kuwa aliingia nchini tangu Desemba, mwaka jana, akiwa hoi kiasi cha kufikia kudondoka kwenye uwanja wa ndege jijini Dar akitokea China alipokuwa akiishi kwa zaidi ya mwaka. “Nililazwa kwa zaidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Manchester City yamsajili Fabian Delph

Nahodha wa kilabu ya Aston Villa Fabian Delph amekuwa mchezaji wa hivi karibuni kujiunga na kilabu ya Mancity siku chache tu baada ya kusema kuwa atasalia katika uwanja wa Villa Park.

 

5 years ago

Liverpool Echo

Fabian Ruiz could be the solution to Liverpool's midfield problem

Fabian Ruiz could be the solution to Liverpool's midfield problem  Liverpool Echo‘Scrap it and start again’ – Man Utd star Shaw wants season ended & Liverpool denied title  Goal.comLiverpool reverse furlough decision and apologise to fans  Sky SportsA letter from Peter Moore to Liverpool supporters  Liverpool FCLiverpool make U-turn over furlough scheme after clubs slammed  ArabnewsView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano ya Kwanza Production na Fabian Lwamba wa Krystaal

Mubelwa Bandio wa Kwanza Production akimhoji Fabian Lwamba wa kundi la KRYSTAAL
Karibu kwenye mahojiano kati ya Kwanza Production na Fabian LwambaMmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana. Lwamba Brothers
Walikuja kuungana Canada ambako kwa miaka 16 wamekuwa pamoja kama kundi la muziki wa injili. Amezungumza pia mkanganyiko wa IMANI na TAMADUNI zetu. Swali.... Ni upi...

 

9 years ago

Michuzi

LUCIAN NA FABIAN JOSEPH WATAMBA ARUSHA TOURISM MARATHON

Afisa utalii wa tanapa fredy shirima akiwa anamkabidhi zawadi Mwanariadha Reginal Lucian baada ya kushinda kilometa 42,baada ya kukimbia kwa muda wa  1:00:05. Baadhi ya wanariadha walifanikiwa kupata zawadi katika shindano Arusha tourism Marathon wakiwa katika picha ya pamoja .

Na Woinde Shizza,Arusha 

Mwanariadha Reginal Lucian alifanikiwa kushinda kwa upande wawanaume,katika shindano la Arusha Tourism Marathon baada ya kutumiamuda wa 1:00:05,akifatiliwa na mwanariadha wa kimataifa,...

 

9 years ago

TheCitizen

Fabian Nelson wins gold medal in 10km race

Fabian Nelson of CCP Club yesterday emerged winner in the Karatu Sports Festival after beating more than 100 competitors.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani