Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


REHEMA FABIAN APATA GONJWA LILILOMUUA BABA’KE

Stori: Musa Mateja NOOO! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009 Bongo, Rehema Fabian anasumbuliwa na tatizo la maini na mapafu kuharibika, ugonjwa uliomuua baba’ke. Rehema Fabian. Akistorisha na mwanahabari wetu, Rehema alifunguka kuwa aliingia nchini tangu Desemba, mwaka jana, akiwa hoi kiasi cha kufikia kudondoka kwenye uwanja wa ndege jijini Dar akitokea China alipokuwa akiishi kwa zaidi ya mwaka. “Nililazwa kwa zaidi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

REHEMA FABIAN LAIVU

Stori: Shakoor Jongo
KhAA! Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini China akijitafutia maisha, Rehema Fabian amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu. Miss Kiswahili mwaka 2009, Rehema Fabian, akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia ya simu, mnyetishaji wetu ambaye naye yuko nchini humo alisema kuwa kwa sasa mrembo huyo anajiachia na babu...

 

11 years ago

GPL

REHEMA FABIAN ANANGWA

Rehema Fabian katika pozi. Stori: Shakoor Jongo
MISS Kiswahili 2008 Bongo, Rehema Fabian amenagwa vibaya na wadau baada kutupia picha za utupu katika mtandao wa Instagram. Wakizungumza na paparazi wetu mara baada ya kuziona picha hizo ambazo zinamuonesha baadhi ya viungo vyake nyeti, mashabiki wa staa huyo walimponda wakidai wamemchoka kwa kupenda kupaisha jina lake kupitia picha hizo chafu. “Anajidhalilisha sana,...

 

11 years ago

GPL

HUYU REHEMA FABIAN MAJANGA

Stori: Mwandishi Wetu
MAJANGA! Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian ameonekana hamnazo baada ya kutupia picha ya nusu utupu katika mtandao wa kijamii wa Instagram kisha kuambulia mvua ya matusi. Mshiriki wa Miss Kiswahili 2009, Rehema Fabian Picha hiyo ilimuonesha akiwa amejiziba usoni na kuacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake ambapo baadhi ya wafuasi wa mtandao huo walimkalisha kwa kumpa za chembe.… ...

 

11 years ago

GPL

SARA APATA GONJWA LA AJABU

Stori: Mayasa Mariwata
MSANII wa sinena za Kibongo ambaye amejikita kwenye nyimbo za Injili, Sara Mvungi amejikuta kwenye wakati mgumu kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya tumbo bila kujua chanzo wala ugonjwa husika. Sara Mvungi. Akizungumza na paparazi wetu, Sara alisema katika hali ya kutaharuki tatizo hilo lilipoanza alihisi labda anasumbuliwa na ugonjwa wa ‘typhoid’ lakini alipokwenda hospitali hakukutwa na...

 

11 years ago

GPL

MSANII APATA GONJWA BAYA

Stori: waandishi wetu Oooh God! Mwigizaji wa kitambo kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Augustino Mathias ‘Tino Madhahabu’ anasumbuliwa na gonjwa baya la moyo kwa zaidi ya miaka 7 akiwa hana msaada wowote kutoka kwa wasanii wenzake hivyo kulazimika kuomba msaada kwa Watanzania ambao anaamini wana moyo wa kusaidia. Mwigizaji wa kitambo kwenye tasnia ya maigizo Bongo, Augustino Mathias ‘Tino Madhahabuna...

 

10 years ago

GPL

DENTI APATA GONJWA LA AJABU!

Stori: SHANI RAMADHANI “Natamani nirudi shuleni hata kama ni darasa la kwanza, kama siyo ugonjwa huu wa ajabu ningekuwa namaliza kidato cha nne mwaka huu,” ni maneno ya kijana Frank Ephraim Simon (17), mkazi wa Kijiji cha Viwege, Gongo la Mboto jijini Dar akizungumza na Amani juu ya mateso anayopata. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Sj9u7a ...

 

11 years ago

GPL

NISHA APATA GONJWA LA AJABU

Stori: Gladness Mallya
Maskini! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anateseka baada ya kupata gonjwa la ajabu linalomsababishia maumivu makali. Hali ya Nisha ilivyo kwa sasa. Hapa akilazimishwa kula chakula. Akizungumza rafiki yake ambaye pia ni msanii mwenzake, Happy John ‘Nyatawe’ alisema Nisha alianza kulalamika kwamba anasikia vitu vikimtembea mwilini na maumivu makali ya kichwa...

 

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi. Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani. Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho

>Siku chache baada ya baba aliyedaiwa kubaka watoto wake wawili wakazi wa wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani kutiwa mbaroni na polisi, mama wa watoto waliokuwa wakitendewa unyama huo ameanza kupokea vitisho kutoka kwa  baadhi ya ndugu wa mume wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani