Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP ampa mtihani RPC Kagera

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, amemwamuru Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, George Mayunga, kuwachunguza na kuwatia mbaroni askari wanaotuhumiwa kushirikiana na wafanyabiashara wa pombe kali za viroba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Newly appointed Kagera RPC calls for close cooperation from citizens


Newly appointed Kagera RPC calls for close cooperation from citizens
Daily News
KAGERA Regional Police Commander (RPC), Mr Agustino Ollomi, has appealed to the general public to cooperate in fighting crime. RPC Ollomi, who reported for duty four weeks ago, taking over from RPC Henry Mwaibambe said the duty of maintaining ...

 

9 years ago

Bongo Movies

Wastara Ampa Ampa Kichapo Bondi

KAZI ipo! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma anadaiwa kumpa kichapo kikali aliyekuwa mwandani wake, Bond Suleiman baada ya kupatwa na kile kinachosemwa kuwa ni kupandisha majini.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, kupandisha majini hayo kulitokana na jinsi ambavyo mwanaume huyo amekuwa akimtendea mpenziwe huyo, ambaye inadaiwa katika kupandisha huko, alitoa maelekezo ya namna anavyotakiwa kufanya.

“Nakuambia ilikuwa varangati siku hiyo, Wastara alipandisha majini akiwa na Bond, walikuwa...

 

10 years ago

TheCitizen

NYERERE & KAGERA WAR-4: Kagera War: Lessons and challenges

>Besides recapturing the Kagera Salient and driving Idi Amin out of Uganda, Tanzania’s second major success in the eight-month war lay in the organisation of its fighting force.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RPC Tarime matatani

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya, Justus Kamugisha, anatumia madaraka yake vibaya kumnyanyasa askari wake, G. 2751 PC. Japhet Samwel, aliyeumia mkono akiwa kazini mgodini Nyamongo. Licha ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

RPC Msangi awachefua CHADEMA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mbeya Mjini kimetoa siku tatu kwa Kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi, kukanusha kauli yake aliyotoa hivi karibuni ya kuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

BAVICHA wamtahadharisha RPC Iringa

MAKAMU Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (BAVICHA), Taifa, Patrick Ole Sosopi, amemtaka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi asiingilie maandamano makubwa ya vijana yaliyoandaliwa kwa ajili ya mapokezi...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Let Us Contain Road Carnage Collectively, RPC


Let Us Contain Road Carnage Collectively, RPC
AllAfrica.com
THE current road traffic carnages in Kagera Region cannot be left to continue unchecked, and hence continue claiming the lives of innocent Tanzanians brutally, the Kagera Regional Police Commander (RPC), Mr Augustine Ollomi, has said. He said that ...

 

11 years ago

Habarileo

RPC aagiza wauzaji wa tindikali kujisajili

POLISI mkoani Simiyu imewataka wauzaji wa tindikali, kujisajili kwa Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, ili watambulike kisheria na kupewa utaratibu wa matumizi sahihi ya bidhaa hiyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Charles Mkumbo, pia aliwatahadharisha wananchi wote kuwa atakayekutwa na tindikali mtaani, atakamatwa na kufikishwa mahakamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RPC Tabora amkingia kifua mtuhumiwa

HATMA ya Mkuu wa Kituo cha Polisi Igunga mkoani Tabora, SP Edson Mfuru anayedaiwa kumuachia mtuhumiwa Magata Singu anayetuhumiwa kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la sita mwenye umri wa 14...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani