Igunga DED suspends ward official over embezzlement
Igunga DED suspends ward official over embezzlement
Daily News
THE Igunga District Executive Director (DED), Mr Rustika Turuka, has indefinitely suspended Kining'inila Ward Executive Officer, John Maduhu, over allegations of 21m/- theft pending investigations by police. Mr Turuka told reporters here that Maduhu is ...
Daily News
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen16 Jun
CCM’s ward official decamps to Chadema
11 years ago
Daily News11 Feb
Ward official jailed 10 years for theft, forgery
Daily News
THE Nkasi Resident Magistrate's Court in Rukwa Region has sentenced Ward Executive Officer, Damas Ismail (34), to ten years in jail for forgery and stealing over 5m/- from the government. He was sentenced to two years in jail on each of the five counts of ...
10 years ago
Daily Mail23 Dec
Tanzania suspends senior energy official over graft claims
spyghana.com
Daily Mail
DAR ES SALAAM, Dec 23 (Reuters) - Tanzanian President Jakaya Kiwete's office suspended a senior energy ministry official on Tuesday, the third political casualty of a corruption scandal that has rocked the east African nation. Tanzania is estimated to have ...
Senior Tanzanian official dismissed over corruptionPress TV
Kenyan Businessman Harbinder Sethi in $183m ScandalSikh24 News & Updates
Tanzania sacks another...
11 years ago
TheCitizen17 Oct
Camartec director accused of embezzlement
9 years ago
Habarileo28 Nov
RC Kilimanjaro amuokoa DC, DED
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makala amewaokoa mkuu wa wilaya ya Mwanga, Shaibu Ndemanga na mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Jamuhuri Wiliam kutoathiriwa na hasira za wananchi waliokuwa wakishinikiza serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya Dar kwenda Moshi, eneo la Kileo wilayani Mwanga kwa madai ya kuchoshwa na ajali za mara kwa mara.
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ofisi ya DED yateketea
JENGO la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kibondo limeteketea kwa moto.
11 years ago
Habarileo30 Sep
Walimu wamvaa DED
WALIMU na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) wilayani Kigoma Vijijini wamevamia ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na kufunga lango kuu la kuingia na kutoka katika ofisi za Halmashauri hiyo kwa saa tatu.
11 years ago
Habarileo16 Apr
Madiwani wamsifu DED anayestaafu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa limesema bado linahitaji mchango wa Mkurugenzi wa halmashauri hiyo (DED), Bibie Mnyamagola ambaye anatarajia kustaafu Aprili 30, mwaka huu kwa mujibu wa sheria.
9 years ago
Habarileo08 Dec
RC awasimamisha kazi DED, maofisa 11
MKUU wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahim Msengi amewasimamisha kazi maofisa waandamizi 11 wa Manispaa ya Mpanda akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wake, Suleiman Lukanga kwa ukiukwaji wa sheria za manunuzi kwa kufanya ubadhirifu fedha zaidi ya Sh milioni 92.8.