Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ikorodu Bois wasanii waliogiza matukio katika filamu ya Money Heist

Ikorodu Bois hurudia matukio katika filamu ya Money Heist

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Nigeria: Ikorodu Bois remaking scenes from famous videos

The Ikorodu Bois are using everyday household items to recreate famous movie trailers and TV shows.

 

10 years ago

Bongo Movies

Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu

Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment  kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi  shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.

Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;

"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...

 

11 years ago

Michuzi

Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini

 Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Joyce Mwakisyala  (katikati )akipokea maoni ya  Utafiti  kuhusu Tasnia ya Filamu Tanzania kutoka kwa Rais wa Shirikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa kwanza kulia, kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fissoo  Rais wa Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania (TAFF) Bwana Simon Mwakifwamba wa pili kutoka kulia akionyesha maoni ya  Utafiti ...

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyakea wakiwa katika mkesha wa mwaka mpya.  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na mkewe wakicheza kwa furaha wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akiwa na furaha wakati wa mkesha wa mwaka 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye(katikati) akicheza nyimbo za injili wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mbembe: Wasanii Kuvimba Vichwa Kunaua Filamu

SEIF Mbembe mwigizaji mkongwe anayetamba katika tasnia ya filamu  anachukizwa na tabia za baadhi ya wasanii kufika sehemu za kazi na kutumia muda mwingi kuchezea simu na kuwachelewesha wasanii wengine ambao wanakuwa wapo kwa ajili ya kazi na si ubishoo unaofanywa na wasanii wenye majina makubwa.

“Kinachotukutanisha pale ni kazi sasa mtu mwingine anavyoleta utoto na ni mtu mzima haipendezi, wanadharau sana hasa wakiitwa masupa star vichwa vinavimba sana, lakini bila nidhamu katika kazi ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

DCB Yaonyesha Njia Kwa Wasanii wa Filamu

DCB Commercial Bank imefungunga njia kwa wasanii wa filamu baada ya kuwashirikisha katika kampeni za kutoa elimu kwa wateja wa kibenki kupitia njia ya filamu, Benki hiyo ambayo toka kuanza kwake imekuwa na mafanikio makubwa imetengeneza filamu maalum inayojulikana kwa jina la DESIRE TO SUCCEED (HAMU YA MAFANIKIO).

Benki hiyo inayofanya vema katika taasisi za Kibenki baada ya kufanya utafiti ni njia ipo rahisi kuifikia jamii waligundua kuwa filamu inapendwa na watu wengi, ndipo wakaona...

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa filamu 10 waliofanya vizuri mwaka 2014

Bongo5 ikishirikina na wasambazaji na wauzaji wa filamu, inakuletea orodha ya waigizaji 10 waliofanya vizuri mwaka 2014. Salim Ahmed aka Gabo Mwaka jana msanii huyu alitamba na filamu ya ‘Bado Natafuta’ ambayo bado inaendelea kufanya vizuri sokoni. Mwaka huu Gabo pia ameonekana kwenye filamu nyingi ikiwemo ‘Siri Ya Giningi’ iliyofanya vizuri sokoni akishirikiana na Sabby […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani