I’ll make Singida economic hub if elected, says Magufuli
The CCM presidential candidate, Dr John Pombe Magufuli, yesterday promised to turn Singida Region into one of the country’s economic hubs if elected to the highest office on October 25.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s72-c/_MG_1885.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
TheCitizen05 Nov
The economic task awaiting Magufuli after his swearing-in
10 years ago
TheCitizen24 Jan
ECONOMIC MADE SIMPLE: Economic perspectives on weakening Tanzanian shilling
9 years ago
Habarileo05 Nov
Singida wamwomba Magufuli siku ya Ukimwi
WAKATI Rais mteule, Dk John Magufuli anaapishwa leo kushika wadhifa huo rasmi, mkoa wa Singida umemwomba awe mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yatakayofanyika kitaifa mjini hapa, Desemba mosi mwaka huu.
9 years ago
Habarileo07 Oct
Magufuli amshawishi Mo kujenga kiwanda Singida
MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji, kujenga kiwanda mkoani humo, ili pamoja na mambo mengine, kupunguza uhaba wa ajira.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Capt-mstaaf-John-Chiligati-aliyekuwa-Mbuge-wa-manyoni-akipunga-mikono-baada-ya-kumpigia-debe-mgombea-mpya-wa-eneo-hilo-Daniel-Mtuka-katikati-ni-mg.jpg)
MAGUFULI AMWAGA SERA YA MATUMAINI MAPYA SINGIDA
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli
Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.
Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...
9 years ago
StarTV29 Dec
Waumini wa Kiislamu Singida wafanya dua maalum kumuombea Magufuli.
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Singida wamefanya dua maalum ya kumuombea Rais John Pombe Magufuli ili Mungu ampe afya njema, nguvu na ujasiri wa kuendelea kupambana na wezi wa mali za umma, ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka pamoja na vitendo vya ufisadi nchini.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Rais Magufuli anajenga uaminifu na uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma kwa kutumia kauli mbiu yake ya kutumbua majipu ili kurejesha imani zaidi kwa wananchi.
Katika Msikiti wa Mhajirina uliopo...