Singida wamwomba Magufuli siku ya Ukimwi
WAKATI Rais mteule, Dk John Magufuli anaapishwa leo kushika wadhifa huo rasmi, mkoa wa Singida umemwomba awe mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani yatakayofanyika kitaifa mjini hapa, Desemba mosi mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mkoa wa Singida mwenyeji maadhimisho ya siku ya Ukimwi duniani, Desemba Mosi mwaka huu
![DSCN5254](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/DSCN5254.jpg)
9 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI MWAKA 2015 KUFANYIKA KITAIFA DESEMBA MOSI MKOANI SINGIDA
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk.Fatma Mrisho (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani mwaka 2015 yatakayofanyika kitaifa Desemba Mosi mkoani Singida. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari na Uraghibishi.
Na Dotto Mwaibale
MAAMBUKIZI ya virusi vya Ukimwi nchini yameongezeka kwenye kundi la vijana wenye umri wa miaka kati ya 19 mpaka 24 tofauti na ilivyokuwa miaka minne...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-akimpa-pole-Padre-Dk-Kitima-na-familia-yake-kwa-kifo-cha-mdogo-wake-kilichotokea-hivi-karibuni.jpg)
MAGUFULI APIGA KAMPENI SINGIDA, DODOMA MPAKA MANYARA KWA SIKU MOJA
9 years ago
StarTV12 Nov
ACT Wazalendo wamwomba Dk. Magufuli kuingilia kati mgogoro wa Zanzibari
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Magufuli kuingilia kati suala la mgogoro wa Zanzibar na hatimaye matokeo ya uchaguzi yafahamike na mshindi atangazwe.
Kiongozi wa Chama hicho ambaye pia ni Mbunge mteule wa Kigoma Ujiji Zitto Kabwe amesema Rais asiposhughulikia suala hilo linaweza kusababisha mpasuko mkubwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kazi anazozifanya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3M_FOxHS4w/VkMeI9h55-I/AAAAAAAIFS4/RvP7mm_pjgM/s72-c/IMG_3873.jpg)
ACT WAZALENDO WAMWOMBA RAIS MAGUFULI KUAMURU ZEC KUTANGAZA MATOKEO ZANZIBAR
Zitto amesema kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) hakuwa na mamlaka yoyote ile katika tume hiyo ya kukufuta matokeo ya uchaguzi...
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s72-c/_MG_1885.jpg)
MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE
![](http://2.bp.blogspot.com/-bW-elVYgVpA/Vg6lzCwZyII/AAAAAAADAEU/FFs4pbo6bXY/s640/_MG_1885.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pD7irjHsSLg/Vg6lzrRxEKI/AAAAAAADAEY/Ssa9uPgDiF8/s640/_MG_1892.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1N-cfVihJnE/Vg6lyvlh1fI/AAAAAAADAEI/BspUOj2-x_c/s640/_MG_1869.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Dkt. Kone asema maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI mkoani Singida yazidi kuongezeka
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI yaliyofanyika katika kijiji cha Sepuka wilaya ya Ikungi.Kaimu mkuu huyo wa mkoa, amesema kuwa jumla ya waathirika wa VVU 17,720 mkoani hapa, 12,286 wameandikishwa kwa ajili ya kupatiwa dawa za kufumbaza virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa UKIMWI.
Na Nathaniel Limu.
Jumla ya watu 17,720 mkoani Singida wanaoishi na Virusi vya Ukimwi walioandikishwa hadi...
10 years ago
CloudsFM01 Dec
LEO NI SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Nchini mwetu, ugonjwa huo uliogundulika kwa mara ya kwanza mwaka 1981 mkoani Kagera, umesambaa katika mikoa yote, umekuwa sababu ya maafa mengi makubwa kwenye jamii ambako mbali ya vifo, umetuachia yatima, wajane na wagane.
Takwimu zinazotolewa zinaonyesha kuwa maambukizi mapya yamekuwa yakipungua kwa kiasi kikubwa, ingawa hali halisi ni...