Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IMF kuipa Ukraine dola bilioni 10

Shirika la fedha duniani IMF limekubali kuipa Ukraine msaada ya dola bilioni 10 ilikuinusuru Uchumi wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

EU kuipa Ugiriki mkopo wa dola bilioni 7

Tume ya bara Ulaya imependekeza mkopo wa muda mfupi wa dola bilioni saba nukta saba kwa Ugiriki, huku majadiliano kuhusu madeni ya nchi hiyo yakiendelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

IMF yatimiza ahadi kwa Ukraine

Shirika la Fedha Duniani IMF limeidhinisha msaada wa dola bilioni kumi na saba kuunusuru uchumi wa Ukraine

 

5 years ago

Michuzi

IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

SHIRIKA  la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.

Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.

Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme kupeana dola bilioni 32

Mwanamfale wa Saudi Arabia Alwaleed Bin Talal amesema anatoa mali yake yote kwa hisani

 

10 years ago

BBCSwahili

Wezi wa kompyuta wameiba dola bilioni 1

Genge la wezi wa kompyuta limeiba takriban dola bilioni moja kutoka kwenye akaunti za wateja wa mabenki 100 katika mataifa 30.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kuekeza dola bilioni 14 Afrika

Kampuni kadhaa za Marekani, zimeahidi kuekeza dola bilioni 14 barani Afrika hasa katika sekta ya kawi na miundo msingi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:atoa ahadi ya dola bilioni moja

Wajasiriamali jijini Nairobi wamesifu rais wa Marekani Barack Obama kwa kuwachangia dolla billion moja

 

9 years ago

BBCSwahili

Candy Crush imeuzwa kwa dola bilioni 5.9

Kampuni iliyotengeneza mchezo wa Candy Crush imenunuliwa kwa dola bilioni 5.9

 

10 years ago

Bongo5

Ebola kuzigharimu nchi za Afrika Magharibi dola bilioni 32

Mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola unaweza kuzigharimu nchi za Afrika Magharibi zaidi ya dola bilioni 52 katika mwaka ujao iwapo maafisa watashindwa kuudhibiti, benki ya dunia imeonya. Benki hiyo imesema kwenye ripoti yake mpya kuwa, kama jitihada za kuzuia kusambaa kwake katika nchi zilizokubwa zaidi na ugonjwa huo– Liberia, Sierra Leone na Guinea – […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani