IMF yatimiza ahadi kwa Ukraine
Shirika la Fedha Duniani IMF limeidhinisha msaada wa dola bilioni kumi na saba kuunusuru uchumi wa Ukraine
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
IMF kuipa Ukraine dola bilioni 10
10 years ago
GPLEFM RADIO YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA KISHINDO
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
93.7 Efm Radio yatimiza mwaka mmoja leo kutoa gari kwa mwananchi wa Dar es Salaam
Baadhi ya vijana wa kazi wa Efm Radio wakiwa kwenye pozi ambapo leo watapita mitaani kwa shangwe huku wakitarajia kutoa gari kwa shabiki atakayeshinda katika jiji la Dar es Salaam, Kinondoni, Ilala na Temeke kazi kwako ndio wakati wa kujitokeza kitaa leo kusheherekea na 93.7 efm Dar es Salaam.
“HAPPY BIRTHDAY 93.7 Efm RADIO!
Kwa moyo mkunjufu kabisa
, nina penda kuwapongeza sana 93.7 Efm Radio kwa kutimiza mwaka mmoja tangu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_3FDwBPN5zQ/XuISMkYsIsI/AAAAAAAEHts/8Qn6LVzuTKsBMbweYEAZ34PzwDCu6L_3ACLcBGAsYHQ/s72-c/imf.png)
IMF YATOA DOLA MILIONI 14.3 KWA TANZANIA
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF) limeidhinisha kutoa msaada wa Dola za kimarekani Million 14. 3 kwa Tanzania na hiyo kupitia kikao cha bodi ya wakurugenzi kilichokaa jana Juni 10.
Kupitia mfuko wake wa kupambana na maafa(CCRT ) IMF imeisamehe Tanzania kiasi cha mkopo cha Dola za kimarekani milioni 14. 3 ambazo zilipaswa kulipwa ndani ya miezi minne ijayo kuanzia sasa mpaka tarehe Oktoba 13, 2020.
Imeelezwa kuwa hiyo ni katika kunusuru uchumi wa Tanzania...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
VijimamboNCHI ZA AFRIKA ZATOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
10 years ago
MichuziNCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
Akizungumza na vyombo vya habari,waziri wa fedha wa Tanzania Mhe. Saada Salum Mkuya alisema” Sisi kama nchi tuliwasilisha nini tunaona katika utekelezaji wa mipango ya Benki. Tumeshukuru sana Benki ya Dunia kwa kuendeleza mipango ya kuweza kusaidia nchi za kiafrika ,hususan kwenye mipango...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FhAsdhjjsLg/Xm4Vs6doQcI/AAAAAAALjvE/0tS7TaxcqR8_JN7lj3VXWSyRL1nTZZQeACLcBGAsYHQ/s72-c/3994a4b4-879f-4379-a162-022d57653170.jpg)
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIBIASHARA NA KUDHIBITI MFUMUKO WA BEI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA imepongezwa na Shirika la Fedha duniani (IMF) kutokana na namna ilivyoboresha mazingira ya kibiashara, kudhibiti mfumuko wa bei ambao uko chini ya asilimia tano, ongezeko la mikopo sekta binafsi pamoja na uimara wa kuwa na fedha nyingi za kigeni kulinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki.
Ripoti ya Shirika hilo iliyotolewa Machi mwaka inaeleza kuridhishwa na deni la Taifa ambalo wamelitaja kuwa himilivu na linaifanya Tanzania iendelee kupokea mikopo...