NCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
Wakati Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la kifedha la kimataifa ikiendelea hapa Mjini Washington Dc. Mawaziri wa fedha wameweka misimamo yao juu ya sera ambazo zinawekwa na Benki ya Dunia.
Akizungumza na vyombo vya habari,waziri wa fedha wa Tanzania Mhe. Saada Salum Mkuya alisema” Sisi kama nchi tuliwasilisha nini tunaona katika utekelezaji wa mipango ya Benki. Tumeshukuru sana Benki ya Dunia kwa kuendeleza mipango ya kuweza kusaidia nchi za kiafrika ,hususan kwenye mipango...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboNCHI ZA AFRIKA ZATOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
10 years ago
Habarileo21 Apr
Nchi za Afrika zaweka msimamo IMF, WB
WAKATI mikutano ya Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikiendelea hapa, mawaziri wa fedha wa Afrika wameweka misimamo yao juu ya sera ambazo zinawekwa na Benki ya Dunia.
10 years ago
GPL
NCHI ZA JIRANI NA AFRIKA KUSINI ZAWEKA MIKAKATI YA KUWAONDOA RAIA WAO NCHINI HUMO
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Ukawa washikilia msimamo wao
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
CWT yasisitiza msimamo wao ni serikali tatu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimesisitiza kuwa msimamo wa chama hicho ni muundo wa serikali tatu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Rais wa CWT, Gratian...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Afrika wana msimamo mkali
11 years ago
Michuzi
BALOZI KAMALA ASHUKURU BENKI YA MAENDELEO YA ULAYA KWA MIKOPO NA MISAADA INAYOITOA KWA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP)

Kamati ya Mabalozi wa nchi za ACP leo imekutana na Uongozi wa Benki ya Maendeleo ya Ulaya, Luxembourg...
10 years ago
StarTV18 Aug
Mradi wa Dat wa kwanza kwa nchi za Afrika kuzinduliwa
Serikali imezindua mafunzo ya madereva wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka DART ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo wa kwanza katika nchi za Afrika Mashariki wenye lengo la kukabiliana na tatizo la msongamano wa magari.
Tanzania inakuwa nchi ya pili kutekeleza mradi huo kwa nchi za Afrika baada ya Afrika ya kusini na kwamba mradi huo unatarajia kuanza kutumika mapema mwezi ujao kwa kuwezesha abiria 450,000 hadi 500,000 kupata huduma ya usafiri kwa muda wa nusu saa kutoka maeneo ya...