Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika wana msimamo mkali

>Wakatoliki barani Afrika na Ufilipino ndio wanaoonekana kuwa na misimamo mikali, huku wale wa Argentina, Brazili, Hispania na Ufaransa wakiwa wanataka kuona mabadiliko ndani ya Kanisa hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rais wa Malawi ana msimamo mkali Ziwa Nyasa

Wingu jeusi limeanza kutanda kuhusu hatima ya mzozo wa Ziwa Nyasa kutokana na msimamo wa hivi karibuni wa kiongozi wa Democratic Progressive Party (DPP), Peter Mutharika ambaye sasa ni Rais mpya wa Malawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wana msimamo gani kuhusu uzazi?

Wanaume nchini Tanzania wana uelewa kuhusu uzazi wa mpango?

 

10 years ago

Michuzi

Wanazuoni wakutana kujadili suala la 'Msimamo Mkali katika Dini' Maana, Matukio, Sababu na Suluhisho

Mwenyekiti wa Baraza la wadhamini la Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, Shehe Abdallah Ndanga (kushoto), akizungumza wakati wa kongamano kuhusu ‘Msimamo Mkali katika Dini, Maana, Matukio, Sababu na Suluhisho’ lililowashirikisha viongozi kutoka zaidi ya misikiti 100 , viongozi wa taasisi za kiislamu, wanazuoni, na vijana wanaoendesha harakati za kiislamu katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kushoto kwake ni baadhi wa viongozi wa umoja huo; Shehe...

 

10 years ago

Habarileo

Nchi za Afrika zaweka msimamo IMF, WB

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAKATI mikutano ya Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikiendelea hapa, mawaziri wa fedha wa Afrika wameweka misimamo yao juu ya sera ambazo zinawekwa na Benki ya Dunia.

 

10 years ago

Michuzi

NCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB

Wakati Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la kifedha la kimataifa ikiendelea hapa Mjini Washington Dc. Mawaziri wa fedha wameweka misimamo yao juu ya sera ambazo zinawekwa na Benki ya Dunia.
Akizungumza na vyombo vya habari,waziri wa fedha wa Tanzania Mhe. Saada Salum Mkuya alisema” Sisi kama nchi tuliwasilisha nini tunaona katika utekelezaji wa mipango ya Benki. Tumeshukuru sana Benki ya Dunia kwa kuendeleza mipango ya kuweza kusaidia nchi za kiafrika ,hususan kwenye mipango...

 

10 years ago

Vijimambo

NCHI ZA AFRIKA ZATOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile kushoto kwake kwa pamoja wakifuatilia kwa makini mkutano wa 10 wa kisheria wa kundi la Afrika (Afrikca Group Constituency) uliokuwa ukiendelea mjini Washington DC.Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa na Katibu Mkuu wa kwa pamoja wakifuatilia kwa makini mkutano wa 10 wa kisheria kundi la Afrika (Afrikca Group Constituency) uliokuwa ukiendelea mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msako mkali waanza mauaji ya Senzo Afrika Kusini

Football - Absa Premiership 2012/13 - Chippa United v Orlando Pirates - Athlone Stadium

Na Mwandishi wetu

Polisi nchini Afrika Kusini wameanzisha msako mkali dhidi ya mtu aliyempiga risasi na kumuua mlinda mlango na nahodha wa timu ya taifa hilo Senzo Meyiwa(pichani).

Ili kufanikisha uchunguzi huo ufanyike kwa urahisi na haraka, polisi wameahidi zawadi nono ya randi 250,000 sawa na dola za kimarekani 14,000 hadi $23,000 kwa yeyote atakayetoa taarifa na kufanikisha kukamatwa kwa mtu huyo.

Taarifa za jeshi la polisi zinasema kuwa watu wawili waliingia ndani na mmoja alibaki nje...

 

10 years ago

Mwananchi

KANDA BONGO MAN: Mkali aliyeitikisa Afrika kwa mtindo wa Kwasakwasa

Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka ya 80 Kanda Bongoman litakuwa si jina geni masikioni mwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani