Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANDA BONGO MAN: Mkali aliyeitikisa Afrika kwa mtindo wa Kwasakwasa

Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka ya 80 Kanda Bongoman litakuwa si jina geni masikioni mwao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

VIDEO: Kanda Bongo Man dances a new dance

Kanda Bongo Man has left the "kwassa kwassa" behind and is taking his new dance moves on tour. He spoke to the BBC's Sophie Ikenye.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Wyre atoa video ya wimbo alio-sample ‘Monie’ ya Kanda Bongo Man

Muimbaji wa Dancehall, Wyre a.k.a The Love Child kutoka Kenya ametoa video ya wimbo aliosample kutoka kwenye hit song ya mkongwe wa Soukous, Kanda Bongo Man wa ‘Monie’. Mwaka jana mwishoni Wyre alisema kuwa Kanda Bongo Man alimpa haki zote za kusample wimbo huo (Ingia hapa) ambao ameuchanganya na vionjo vya dancehall.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZAIDI ZA MKALI WA BONGO FLEVA DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOPOKELEWA BONGO, SASA KUPELEKA TUZO DAR LIVE

Diamond akiongea na mashabiki wake baada ya kuwasili jijini Dar. Msafara wa Diamond kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.…

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA 16 YA MPIRA WA KIKAPU (BASKETBALL) KWA MAJIJI YA AFRIKA KANDA YA TANO KUFANYIKA DAR ES SALAAM MEI

Mashindano ya 16 ya Mpira wa Kikapu kwa Majiji ya Afrika Kanda ya Tano na Majiji alikwa kutoka Kanda zingine za Afrika yanatarajiwa kufanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mashindano yatafanyika:- Mwezi wa Mei, Tarehe 6 hadi 11 Mwaka 2014.   Majiji yanayotarajiwa kushiriki ni Dar es Salaam (wenyeji), Mwanza, Mbeya, Arusha na Tanga kutoka Tanzania. Nairobi, Mombasa na Kisumu kutoka Kenya. Kampala na Mukomo kutoka Uganda.  Majiji mengine ni  Bujumbura – Burundi na Kigali-Rwanda. ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika

4_1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...

 

10 years ago

Michuzi

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki

 Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM),Mboni Mhita (katikati) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) pamoja na baadhi ya vijana wa Mkoa wa Dar es salaam leo,juu ushindi wake alioupata katika Uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Barani Afrika,ambapo yeye amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja huo kwa upande wa Afrika Mashariki.Uchaguzi huo ulifanyika Mwishoni mwa mwezi uliopita katika Jiji la Johannesburg,nchini Afrika Kusini.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Extra Bongo kuwasha moto mkali Chitaz leo

BENDI ya muziki wa dansi ya Extra Bongo ‘Next Level’, leo itawapagawisha wapenzi wake katika Ukumbi wa Chitaz, uliopo maeneo ya Kijitonyama, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini...

 

10 years ago

Bongo Movies

Life style: Manaiki Sanga, Mkali wa “Selfies” Hapa Bongo!!!

‘Selfie’ ni  aina ya picha ambazo watu hujipiga wenyewe kwa kutumia camera za simu zao au  digital camera na mara nyingi huwa ni kwaajili ya ku-share kwenye mitandao ya kijamii.

Leo katika pitiapitia za kurasa za waigizaji wa hapa bongo, nimebaini kuwa mwigizaji Manaiki Sanga ndie msanii ambae amepiga selfies kali zaidi, hapa nazungumzia zile zinazo jumuisha watu zaidi ya mmoja.

Kama unam-follow makali huyu kwenye mtandao wa instagram, utakubaliana na mimi kuwa jamaa anapenda sana mtindo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani