CWT yasisitiza msimamo wao ni serikali tatu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimesisitiza kuwa msimamo wa chama hicho ni muundo wa serikali tatu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Rais wa CWT, Gratian...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
CUF yasisitiza serikali tatu Katiba mpya
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitatetea maoni ya wananchi waliyoyatoa wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipokusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya ya kutaka serikali tatu. Hayo yalisemwa juzi...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Ukawa washikilia msimamo wao
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fjgew9WG74M/XtZQ98JaQqI/AAAAAAALsTM/8RxW4i_CJDw5-BCEheDu7uA9IDUQtGs2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-02%2Bat%2B1.06.38%2BPM.jpeg)
WAZIRI MHAGAMA AITAKA CWT KUCHUKUA TAHADHARI YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE MKUTANO WAO
Mhe Mhagama ametembelea Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ambao ndio mkutano huo utakapofanyika ambapo pia utatumika kuchagua viongozi wakuu kitaifa wa CWT.
Akizungumza baada ya kukagua maandalizi na kuzungumza na viongozi wa...
10 years ago
MichuziNCHI ZA AFRIKA ZA TOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
Akizungumza na vyombo vya habari,waziri wa fedha wa Tanzania Mhe. Saada Salum Mkuya alisema” Sisi kama nchi tuliwasilisha nini tunaona katika utekelezaji wa mipango ya Benki. Tumeshukuru sana Benki ya Dunia kwa kuendeleza mipango ya kuweza kusaidia nchi za kiafrika ,hususan kwenye mipango...
10 years ago
VijimamboNCHI ZA AFRIKA ZATOA MSIMAMO WAO KWA IMF NA WB
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
CWT: Serikali itatue kero za walimu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) Manispaa ya Morogoro kimeitaka serikali kuepusha migogoro kati yake na walimu. Rai hiyo imetolewa na Katibu wa CWT, Maswi Munada alipomkaribisha Mkurugenzi wa Manispaa, Jorvis...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Rais CWT aitupia lawama Serikali
9 years ago
Mwananchi20 Aug
CWT yaitega Serikali madai ya walimu
11 years ago
Habarileo18 Feb
CCM yasisitiza Serikali mbili
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.