Mradi wa Dat wa kwanza kwa nchi za Afrika kuzinduliwa
Serikali imezindua mafunzo ya madereva wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka DART ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi huo wa kwanza katika nchi za Afrika Mashariki wenye lengo la kukabiliana na tatizo la msongamano wa magari.
Tanzania inakuwa nchi ya pili kutekeleza mradi huo kwa nchi za Afrika baada ya Afrika ya kusini na kwamba mradi huo unatarajia kuanza kutumika mapema mwezi ujao kwa kuwezesha abiria 450,000 hadi 500,000 kupata huduma ya usafiri kwa muda wa nusu saa kutoka maeneo ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziHEIFER INTERNATIONAL TANZANIA YAZINDUA MRADI MKUBWA WA KUENDELEZA SEKTA YA MAZIWA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
MichuziRIPOTI YA KWANZA YA UTEKELEZAJI KUZINDULIWA KWA UMMA MACHI 5, 2015
Ripoti ya Mwaka ya BRN imeandaliwa kuendana na utamaduni wa BRN wa kuweka vipaumbele, malengo na mfumo wa...
11 years ago
MichuziNEWS ALERT: historia yawekwa jijini Mbeye leo baada ya kuzinduliwa kwa lift ya kwanza
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
10 years ago
MichuziTAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
10 years ago
CloudsFM04 Nov
FID Q KUSHUTI VIDEO NZURI KWA MARA YA KWANZA NJE YA NCHI
Rapa Fid Q amekiri kuwa hajawahi kuwa na video nzuri kwa zaidi ya miaka kumi aliyokaa katika game ya muziki wa bongo flava hapa Bongo,Fid Q amefunguka mpango wake wa kwenda kushuti video kali kwa mara ya kwanza nje ya nchi.
11 years ago
MichuziWiki ya chanjo Afrika kuzinduliwa kesho
Baadhi ya...
9 years ago
Bongo501 Oct
Tamasha la BET Experience kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwezi wa 12