Wiki ya chanjo Afrika kuzinduliwa kesho
Mratibu wa Chanjo Zanzibar Bw. Yusuf Haji Makame akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu wiki ya chanjo Afrika itayozinduliwa kesho na Waziri wa Afya Mhe. Juma Duni Haji uzinduzi huo utafanyika kituo cha Afya Chumbuni Mjini Zanzibar.
Mdhibiti magonjwa - Kitengo cha Chanjo Wizara ya Afya Bw. Abdulhamid Ame akitoa ufafanuzi kuhusu Chanjo wakati wa Mkuta na wandishi wa Habari.
Muandishi wa Habari wa Staa TV Abdallah Pandu akitaka ukiuliza swali kuhusu wiki ya Chanjo Afrika.
Baadhi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IMCceH87DYQ/VheE6OTHBrI/AAAAAAAH-Co/DWBSld2-X4k/s72-c/PIX3.jpg)
DODOMA KUMEKUCHA WIKI YA VIJANA KUZINDULIWA RASMI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-IMCceH87DYQ/VheE6OTHBrI/AAAAAAAH-Co/DWBSld2-X4k/s640/PIX3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DjJzdE1hQuk/VheE6CSyeTI/AAAAAAAH-Ck/UgfTN9I-NQY/s640/PIX2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Watoto 4000 kupatiwa chanjo katika Wiki ya Chanjo — Parseko Kone, Singida
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizindua utoaji wa chanjo kimkoa katika hospitali ya St.Calorus iliyopo kijiji cha Mtinko. Jumla ya watoto 3,999 wanatarajiwa kupatiwa chanjo mbalimbali.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza na wakazi wa tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida, muda mfupi baada ya kuzindua zoezi la chanjo kimkoa lililoanza jana na linatarajiwa kumalizika Aprili 30 mwaka huu.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu
JUMLA ya watoto 3,999 mkoani...
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Kampeni ya chanjo dhidi ya surua, rubella kuzinduliwa leo
KAMPENI ya chanjo dhidi ya ugonjwa surua na rubella kwa watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miaka 15 inatarajia kuzinduliwa leo. Katika kampeni hiyo itakayodumu kwa siku saba, watoto...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KCjDqGqyYH8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Nitetee Bwana kuzinduliwa kesho
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Amoni Mwakalukwa, kesho anatarajia kuizindua albamu yake ya pili iitwayo ‘Nitetee Bwana’ shughuli itakayofanyika kwenye ukumbi wa FFU Ukonga jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt5mVNlmH4kUIBvcycIyMCosy6czruRb3gP-QzVc7jiZ0cA5f7Mn0f3DN1P2cLBsFuaQv3ZfIMK-SaI493apIJlN/waziri.jpg?width=650)
KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO
11 years ago
Habarileo16 Jan
Mashine nyingine ya ‘TigoMatic’ kuzinduliwa kesho
KAMPUNI ya Simu za mkononi ya Tigo kesho itazindua mashine maalum ya pili ya Tigo Matic inayowawezesha wateja wake kulipia bili za huduma mbali mbali na kuongeza salio itakayofanya kazi kwa masaa ishirini na nne kwa siku.
10 years ago
Dewji Blog08 Sep
Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa kesho kutwa
Na Mwandishi Wetu
UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa...