Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nitetee Bwana kuzinduliwa kesho

MWIMBAJI wa nyimbo za injili, Amoni Mwakalukwa, kesho anatarajia kuizindua albamu yake ya pili iitwayo ‘Nitetee Bwana’ shughuli itakayofanyika kwenye ukumbi wa FFU Ukonga jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mashine nyingine ya ‘TigoMatic’ kuzinduliwa kesho

KAMPUNI ya Simu za mkononi ya Tigo kesho itazindua mashine maalum ya pili ya Tigo Matic inayowawezesha wateja wake kulipia bili za huduma mbali mbali na kuongeza salio itakayofanya kazi kwa masaa ishirini na nne kwa siku.

 

11 years ago

GPL

KAMPENI HOMA YA INI KUZINDULIWA KESHO

Makala:  Mwandishi Wetu
KAMPENI ya ugonjwa wa Homa ya Ini unaosambazwa na Virusi vya Hepatitis B itazinduliwa rasmi kesho Ijumaa, Machi 7, mwaka huu katika Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Ilala–Amana, jijini Dar es Salaam. Shigongo akizungumza kwa masikitiko jinsi watu wengi walivyo kwenye hatari ya kufa kwa ugonjwa wa ini alipoongea na wanahabari (hawapo pichani) jana.
Akizungumza na Amani, Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

11 years ago

Michuzi

Wiki ya chanjo Afrika kuzinduliwa kesho

Mratibu wa Chanjo Zanzibar Bw. Yusuf Haji Makame akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu wiki ya chanjo Afrika itayozinduliwa kesho na Waziri wa Afya Mhe. Juma Duni Haji uzinduzi huo utafanyika kituo cha Afya Chumbuni Mjini Zanzibar. Mdhibiti magonjwa - Kitengo cha Chanjo Wizara ya Afya Bw. Abdulhamid Ame akitoa ufafanuzi kuhusu Chanjo wakati wa Mkuta na wandishi wa Habari. Muandishi wa Habari wa Staa TV Abdallah Pandu akitaka ukiuliza swali kuhusu wiki ya Chanjo Afrika.
Baadhi ya...

 

9 years ago

Michuzi

DODOMA KUMEKUCHA WIKI YA VIJANA KUZINDULIWA RASMI KESHO

 

Baadhi ya wakazi wakiwa katika Banda la Mkoa wa Tanga wakati wa maadhimisho ya 16 ya Wiki ya Vijana ambayo Kitaifa inafanyikia mkoani Dodoma. Maadhimisho ya Wiki ya Vijana uratibiwa na kusimamiwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo chini ya Idara ya Maendeleo ya Vijana ambapo maadhimisho ya mwaka huu ni ya 16 tokea kuasisiwa kwake.Watoto wa Halaiki wakiwa katika maandalizi ya lala salama tayari kwa sherehe za Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kama walivyokutwa na mpiga picha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rock City Marathon 2014 kuzinduliwa kesho kutwa

Untitled

Na Mwandishi Wetu

UZINDUZI wa msimu wa sita wa mbio za Rock City Marathon 2014 zilizoanza mwaka 2009, zikiwa na lengo la kukuza Utalii wa Ndani kupitia michezo, unatarajia kufanyika Septemba 10, kwenye Hoteli ya New Afrika, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa mbio hizo, Bi. Grace Sanga, alisema kuwa baadhi ya wanariadha, viongozi wa vyama vya riadha, viongozi wa Baraza la Michezo Tanzania na wadau mbali mbali wa mchezo wa riadha nchini wanatarajiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuzinduliwa kesho jijini Dar

 Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM),Balozi Juma Mwapachu (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) juu ya Uzinduzi wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko maalum wa Chuo Kikuu cha Dodoma,unatarajia kuzinduliwa rasmi kesho Novemba 8,2014 kwenye hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam,ambapo Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi huo anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa Awamu tatu na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM),Mh. Benjamin W. Mkapa.Dhumuni la Mfuko huo ni kuweza kukisaidia Chuo...

 

9 years ago

Vijimambo

TAASISI YA WANAWAKE WAHASIBU TANZANIA KUZINDULIWA HOTELI YA HYATT REGENCY KILIMANJARO DAR ES SALAAM KESHO

 Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake Wahasibu Tanzania (TAWCA), Neema Kiure- Mssusa (wa pili kulia), akiwaonesha waandishi wa habari cheti cha usajili wa taasisi hiyo Dar es Salaam leo asubuhi, wakati wa mkutano uliohusu uzinduzi wa taasisi hiyo utakaofanyika leo Hoteli ya Hyatt Regence (Kilimanjaro Hoteli). Kutoka kulia ni Mratibu wa Taasisi hiyo, Rose Majuva, Mwenyekiti, Bahati Geuzye na mmoja wa waanzilishi wa taasisi hiyo, Anna Shanalingingigwa. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MWENYEKITI WA TAWI LA CCM NY BWANA SELF AKIDA AENDA KUTOA POLE NYUMBANI KWA BWANA KIBODYA.


Nyumbani kwa Bwana Isaac Kibondya akiongea na watu walioenda kumpa pole nyumbani kwake baada ya kufiwa na mkwe wake, Kifo kimetokea huko Tanzania siku ya Tarehe July, 16. Marehemu ni mzazi wa Mke wa Bwana Kibodya na Kama inakumbukwa wote walikuwa Tanzania kumuona marehemu akiwa anaumwa mwezi uliopita.
Mwenyekiti wa tawi la CCM New York bwana Seif Akida pamoja na Ny Ebra wote kutoka New York wakiwa nyumbani kwa bwana Kibodya Vail, Springfield. MA kutoa pole.




 

10 years ago

Mwananchi

Tibaijuka: Bwana alitoa, bwana ametwaa

>Siku moja baada ya kufukuzwa  uwaziri, Mbunge wa Muleba Kusini (CCM),  Profesa Anna Tibaijuka amewasili jimboni kwake na kusema, “Bwana alitoa na Bwana ametwaa.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani