Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


INTRODUCING NEW SONG: Nick Mweusi ft JohMakini,G Nako,Nahreel,Aika,Jux and Vanessa - Safari

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki wa Pilli Ft Joh Makini, G Nako, Nahreel, Aika, Jux ,Vanessa — Safari

Huu ni wimbo mpya kutoka kwa Nikki wa Pilli akiwashirikisha Joh Makini,G Nako,Nahreel,Aika, Jux, Vanessa wimbo unaitwa “Safari” Producer Nahreel

 

10 years ago

Bongo5

Nikki wa pili afanya collabo ya wasanii sita, Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako

Nikki Wa Pili kutoka Weusi ameingia studio kufanya wimbo mpya ambao amewashirikisha wasanii sita. Wasanii walioshirikishwa kwenye wimbo huo ambao unafaywa kwenye studio ya The Industry ya producer Nahreel, ni Vanessa Mdee , Joh Makini, Jux, Nahreel, Aika na G-Nako. Kupitia Instagram Aika Marealle wa kundi la Navy Kenzo amerepost picha wakiwa studio na kuandika, […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel, AVID — WCD

Vanessa Mdee, Barnaba, Aika, Nahreel na AVID wameamua kuungana pamoja na kutengeneza zawadi ya pamoja ya kufungia mwaka 2014 na kuukaribisha 2015. Wimbo huu wenye dakika 2 na sekunde 43 unaitwa WCD, kwa kirefu ‘Wave. Clap.Dance’ ambao video yake imeongozwa na Hanscana.

 

9 years ago

Bongo5

Umoja uliopo kati ya Weusi, Navy Kenzo, Vanessa na Jux haukupangwa — Nahreel

Wasanii wa kundi la Weusi, Navy Kenzo pamoja na Vanessa Mdee na Jux wana familia yao ‘Good Music family’ ambayo hushirikiana katika kazi zao mbalimbali za sanaa. Producer wa The Indusrty ambaye pia ni msanii wa kundi la Navy Kenzo, Nahreel amesema kuwa umoja wao huo haukupangwa na wahusika bali ni kitu kilichokuja chenyewe kupitia […]

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel na Aika wazungumzia mpango wa kuoana

Wapenzi wanaounda kundi la Navy Kenzo, Nahreal pamoja na Aika wameweka wazi mpango wao wa kufunga pingu za maisha mbeleni. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii katika fainali za BSS, wawili hao walisema wana mpango huo japo hawajapanga ni lini. “Yeah ndoa ipo, ipo kabisa, hatuwezi kusema sasa hivi lakini itafika tu muda mzuri wa kufunga […]

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Aika tulianza kuishi tukiwa na godoro tu — Nahreel

12224533_1614153525517612_411958139_n

Member wa kundi la Navy Kenzo na mtayarishaji wa muziki, Nahreel amesimulia maisha na mpenzi wake Aika wanayeunda naye kundi hilo.

12224533_1614153525517612_411958139_n

Kabla ya kuanzisha kundi la Navy Kenzo, wawili hao walikuwa wakiunda kundi la Pah One na wasanii wengine wawili.

“Mimi na Aika tumekutana tukiwa India masomoni, wote tulikuwa tunasomeshwa na wazazi wetu, tumepitia mambo mengi sana tukamaliza shule na tukaja Tanzania,” Nahreel alikiambia kipindi cha Mkasi cha EATV.

“Mimi nikawa nimeajiriwa na Aika akawa...

 

10 years ago

GPL

VANESSA, JUX YADAIWA NI WAPENZI

Stori: Musa Mateja aliyekuwa Tanga
MBONGO-Fleva anayefanya poa na ngoma yake ya Nitasubiri, Juma Mussa ‘Jux’ na staa mwenzake ambaye ana kofia nyingine ya utangazaji, Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanadaiwa kuwa ni wapenzi, Risasi Jumatano limeinyaka. Juma Mussa ‘Jux’ akiwa na Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanaodaiwa kuwa ni awapenzi. Madai ya wawili hao kuhusishwa kimapenzi yameendelea...

 

9 years ago

Bongo5

Mimi na Nahreel ni kama Timbaland na Aaliyah tukiwa pamoja — Vanessa Mdee

Jumatatu ya Oct. 12 ndio siku ambayo hit maker wa ‘No Body But Me’ Vanessa Mdee ataachia single yake mpya ‘Never Ever’. Kwa mara nyingine katika wimbo huo mpya Vee Money amefanya kazi na producer Nahreel wa The Industry, ambaye alifanya naye kazi zake zilizopita na hata zingine ambazo bado hazijatoka. Vee ametoa sababu za […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani