Isimani wapewe msaada kukabiliana na njaa
Jana tulichapisha makala ya kusikitisha yaliyochambua kwa kina tatizo la njaa linalowakabili wananchi katika Jimbo la Isimani, mkoani Iringa. Makala hayo yalitokana na uchunguzi wa gazeti hili uliofanywa jimboni humo na kushuhudia jinsi balaa la njaa linavyowatesa wananchi, kuathiri shughuli za maendeleo na hata kutishia maisha yao. Ni habari ya kusikitisha kwa jinsi wananchi wanavyotafuta chakula bila mafanikio kutokana na ukame wa muda mrefu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...
11 years ago
Michuzi12 Mar
JK APOKEA MSAADA WA MAGARI 11 YA KUKABILIANA NA UJANGILI LEO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lqYBC0naj-ETlp2DB9Fv8OsnLL1lA-0S_7CHMic3RwSQIXVNpeB5WlZQmTaCUHTSspLVO2wjGz6ZBbCPvogXL4eDK_KBESQFyxQBMWhaCqw-OYLXH3UzKD_r0bM=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_0461.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/C6WcipDCfoqxlDyZYaLkZy02yDSfQ1osxNonQJ5AehsaE-ucwzxxTozOHSBp19pJ4DaAgTIKqhxc-BN_gP-P7u6B3C9GCaNm8uI_2-XTLik2PjdrU-mB=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/03/1-2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s72-c/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA KINGA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_u4-G8nLyt8/Xo30R9egG_I/AAAAAAALmk4/ZpVjpjnoqB8NlR1rn6zvUmWcVAhlwh1NgCLcBGAsYHQ/s640/5b85fbdc-8bab-4bd2-863d-41371a005a93.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/5bcf623c-97df-4ac1-b490-a1bb45ff58a7.jpg)
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikian...
5 years ago
MichuziMANISPAA YA TEMEKE YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-15sDwXU2YsE/Xntad5iZ1XI/AAAAAAALk_k/3xBUGTNkS80E46noq7IM6LfAt5cUTHloQCLcBGAsYHQ/s72-c/1b60b15e-9ca5-4f63-a695-b921f9ac3ad6.jpg)
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA (COVID-19)
Serikali imepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayoambukizwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliobainika kuwa...
5 years ago
CCM BlogKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...
5 years ago
MichuziLIFEWATER INTERNATIONAL YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMIA SHINIKIZO LA DAMU KUKABILIANA NA CORONA
5 years ago
MichuziKATIKA KUKABILIANA NA CORONA, MGODI WA BARRICK BUZWAGI WATOA MSAADA WA VIFAA SHINYANGA
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia Mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama imetoa msaada vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 48 kwa ajili ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu...