Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIFEWATER INTERNATIONAL YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMIA SHINIKIZO LA DAMU KUKABILIANA NA CORONA



Wa pili Kulia ni Meneja wa Shirika la LifeWater International Mkoa wa Shinyanga, Benety Malima akimkabidhi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile Mashine za Kupimia Shinikizo la Damu ‘BP Mashine’kwa ajili ya kusaidia kutoa huduma za afya Mkoani Shinyanga ili kukabiliana na homa kali ya mapafu ‘Corona’ leo Jumanne Mei 26,2020..Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blogWa pili kulia ni Meneja wa Shirika la LifeWater International Mkoa wa Shinyanga, Benety Malima akimkabidhi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SHUWASA YATOA MSAADA WA NDOO 15 ZENYE UJAZO WA LITA 45 KUKABILIANA NA CORONA KATIKA MANISPAA YA SHINYANGA



Mkurugenzi wa SHUWASA Bi. Flaviana Kifizi (kulia) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko (kushoto) ndoo 15 zenye ujazo wa lita 45 kila moja kwa ajili ya kunawia mikono katika maeneo ya huduma za kijamii ili kukabiliana maambukizi ya Virusi vya Corona (Covid -19) 


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog  Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) imetoa msaada wa ndoo 15 zenye ujazo wa lita 45 kwa ajili ya kutumika kunawia mikono katika maeneo ya...

 

5 years ago

Michuzi

AGAPE ACP YATOA MSAADA WA VIFAA KUKABILIANA NA CORONA VIJIJI VYA KATA YA MWAMALA SHINYANGA


Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE ACP, John Myola (kushoto) akimkabidhi ndoo ya kunawia mikono Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko. Shirika limetoa msaada wa ndoo 62, sabuni 62 za maji na barakoa 150 kwa ajili ya kusaidia wananchi wa vijiji vya kata ya Mwamala halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili kukabiliana na Maambukizi ya Virusi vya Corona.  Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la AGAPE ACP, John Myola (kushoto) akimkabidhi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Brien Holden Vision yatoa msaada wa vifaa vya kupimia macho Wilaya ya Mkuranga na Kibaha

01

Afisa Mkazi wa taasisi isiyo ya Kiserikali ya  Brien Holden Vision Institute, Eden Mahayo akisisitiza jambo wakati  alipofika katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga  kukabidhi msaada wa vifa vya macho kwa ajili ya wanafunzi wa shule za msingi 122 za  Mkuranga ambapo wanafunzi hao watapata huduma ya kupima na kutibiwa macho bure. Kulia ni  Mganga mkuu wa Wilaya hiyo Dkt.Francis Mwanisi,Kaimu Mkurugenzi wa Mkuranga  Benjamin Majoya na  Mratibu wa Taifa wa Huduma ya Macho Dkt.Nkundwe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Dawa ya Covid-19 inayolenga kukabiliana na kuganda kwa damu

Wanasayansi wa Imperial College London wanaamini kwamba matatizo ya homoni huenda kunachangia kuganda kwa damu kwa wagonjwa wa Covid-19.

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-2

Shinikizo la damu limegawanyika katika makundi mawili, aina ya kwanza ambalo kitaalam huitwa Primary au Essential Hypertension. Aina hii ya shinikizo la damu huwapata asilimia 90 hadi 95 ya wagonjwa, huku sababu zikiwa hazijulikani suala linalomaanisha kuwa wagonjwa huwa hawana sababu za wazi zinazosababisha tatizo hilo. Kesi zinazobakia za shinikizo la damu ambazo ni asilimia 5-10 za wagonjwa husababishwa na shinikizo la damu...

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)

WIKI hii tutazungumzia ugonjwa wa shinikizo la damu, au ambao wengi huuita presha na kitaalam huitwa Hypertension au High Blood Pressure.  Ieleweke kuwa shinikizo la damu ni muhimu kwa ajili ya kusukuma damu katika sehemu zote za mwili, lakini shinikizo la damu la juu huweza kuleta matatizo na madhara makubwa kwa mwanadamu. Shinikizo la damu kwa kawaida husababishwa na kuongezeka msukumo wa damu katika kuta za mishipa ya damu,...

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION) - 4

Leo nitaelezea mambo yanayosababisha shinikizo la damu ili uyafahamu na matibabu yake.Kama shinikizo lako la damu liko juu, ni muhimu kumuona daktari ili ufanyiwe uchunguzi wa kiafya. Kipimo kimoja cha shinikizo la damu hakimaanishi kupatikana au kuugua ugonjwa huo, inabidi upimwe zaidi ya mara mbili. Pima kwa kifaa maalum cha kupimia shinikizo la damu kinachoitwa Sphygmomanometer angalau mara tatu tofauti kwa wiki ili...

 

9 years ago

GPL

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-3

Leo nitaelezea mambo yanayosababisha shinikizo la damu ili uyafahamu na kujihadhari nayo.SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION)-3 MBO hayo ni uvutaji sigara, unene (visceral obesity) yaani unene wa sehemu za tumbo, unywaji pombe, upungufu wa madini ya potassium, upungufu wa vitamin D, kurithi, umri mkubwa, chumvi na madini ya sodium kwa ujumla, ongezeko la kemikali kwenye figo (renin) na kushindwa kufanya kazi kichocheo cha Insulin....

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA ULINZI YA SGA YATOA MSAADA WA MASHINE YA KUPUMULIA NA MASHUKA WODI YA WATOTO MWANANYAMALA

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu (kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na mashuka, Mratibu wa Tiba katika Hospitali ya Mwananyamala, Dk Daniel Nkungu. Makabidhiano hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki. Katikati yao ni Meneja Mahusiano kwa wateja wa SGA, Sophia Luhikula. Vitu vilivyotolewa msaada Hosipitalini hapo.Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Ulinzi ya Security Group Africa (SGA), Eric Sambu (kulia) akimkabidhi mshine ya kupumulia na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani