Israeli inawasaka waliomuua raia wa Eritrea
Raia huyo wa Eritrea alipigwa risasi na walinzi waliodhani kuwa alikuwa mshambuliaji wa pili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvejF-RPXdrmp0A3qeLuoWZ2*Fo4js6MefJ6KErIMSeKCbnDW21DZfQ4dp1mZK9EZNbjK8TWZN4DWXaJ1OOYwze/AISHA.jpg)
WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!
Stori: Waandishi Wetu
Kimenuka! Baada ya kuwepo kwa utata mkubwa juu ya kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya Bongo, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, inadaiwa kwamba waliohusika na kifo chake sasa wanasakwa kila kona. Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ enzi za uhai wake. Habari kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Dar, zilidai kwamba jeshi hilo ndilo lililozuia...
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Waliomuua Dk Mvungi waendelea kusota rumande
Jalada la kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado lipo kwa Mkuu wa Upelelezi wa kesi hiyo (RCO).
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Burundi:Waliomuua jenerali Nshimirimana wakamatwa
Kiongozi wa mashtaka nchini Burundi amesema kuwa watu kadhaa wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya jenerali,Adolphe Nshimirimana wamekamatwa
11 years ago
BBCSwahili16 Jan
Msumbiji: Hatuna washukiwa waliomuua Karegeya
Polisi wa Msumbuji wamekanusha madai kuwa wamewakamata washukiwa wa mauaji ya mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Rwanda Patrick Karegeya
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Lowassa: Waliomuua Mawazo wanajulikana, wakamatwe
Mamia ya wakazi wa Mwanza na mikoa ya jirani jana walijitokeza kwa wingi kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo, huku aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema waliomuua mwanasiasa huyo wanajulikana na endapo polisi hawatawakamata, Chadema watachukua hatua wenyewe.
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Zimbabwe:Waliomuua simba Cecil kushtakiwa
Wanaume wawili wanatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baadaye leo wakishtakiwa kwa makosa ya uwindaji , baada ya simba maarufu nchini humo kuuawa na mtalii mmoja raia wa Marekani .
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini
Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki yaapa kuwashika waliomuua wakili mashuhuri
Wakili Tahir Elci alipigwa risasi jana katika mji wa Kusini Mashariki wa Diyarbakir.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Waliomuua ‘Mama Serengeti’ watoweka na mtoto wake
MAJANGILI yaliyoua faru maarufu kama ‘Mama Serengeti’ yanadaiwa kuondoka na mtoto wa faru huyo aliyekuwa na umri wa miezi minne. Habari ambazo Tanzania Daima ilizipata zilidai kuwa Mama Serengeti ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania