Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israeli inawasaka waliomuua raia wa Eritrea

Raia huyo wa Eritrea alipigwa risasi na walinzi waliodhani kuwa alikuwa mshambuliaji wa pili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!

Stori: Waandishi Wetu
Kimenuka! Baada ya kuwepo kwa utata mkubwa juu ya kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya Bongo, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, inadaiwa kwamba waliohusika na kifo chake sasa wanasakwa kila kona. Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ enzi za uhai wake. Habari kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Dar, zilidai kwamba jeshi hilo ndilo lililozuia...

 

11 years ago

Mwananchi

Waliomuua Dk Mvungi waendelea kusota rumande

Jalada la kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado lipo kwa Mkuu wa Upelelezi wa kesi hiyo (RCO).

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Waliomuua jenerali Nshimirimana wakamatwa

Kiongozi wa mashtaka nchini Burundi amesema kuwa watu kadhaa wanaoshukiwa kutekeleza mauaji ya jenerali,Adolphe Nshimirimana wamekamatwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Msumbiji: Hatuna washukiwa waliomuua Karegeya

Polisi wa Msumbuji wamekanusha madai kuwa wamewakamata washukiwa wa mauaji ya mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Rwanda Patrick Karegeya

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Waliomuua Mawazo wanajulikana, wakamatwe

Mamia ya wakazi wa Mwanza na mikoa ya jirani jana walijitokeza kwa wingi kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo, huku aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema waliomuua mwanasiasa huyo wanajulikana na endapo polisi hawatawakamata, Chadema watachukua hatua wenyewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zimbabwe:Waliomuua simba Cecil kushtakiwa

Wanaume wawili wanatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Zimbabwe baadaye leo wakishtakiwa kwa makosa ya uwindaji , baada ya simba maarufu nchini humo kuuawa na mtalii mmoja raia wa Marekani .

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yaapa kuwashika waliomuua wakili mashuhuri

Wakili Tahir Elci alipigwa risasi jana katika mji wa Kusini Mashariki wa Diyarbakir.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waliomuua ‘Mama Serengeti’ watoweka na mtoto wake

MAJANGILI yaliyoua faru maarufu kama ‘Mama Serengeti’ yanadaiwa kuondoka na mtoto wa faru huyo aliyekuwa na umri wa miezi minne. Habari ambazo Tanzania Daima ilizipata zilidai kuwa Mama Serengeti ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani