Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msumbiji: Hatuna washukiwa waliomuua Karegeya

Polisi wa Msumbuji wamekanusha madai kuwa wamewakamata washukiwa wa mauaji ya mkuu wa zamani wa ujasusi nchini Rwanda Patrick Karegeya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA MSUMBIJI ATEMBELEA CHUO CHA DIPLOMASIA, AFUNGUA KONGAMANO LA BIASHARA NA KUZUNGUMZA NA RAIA WA MSUMBIJI WAISHIO NCHINI


Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akiwajadiliana jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Diplomasia (CFR), Balozi Mwanaidi Maajar huku Mkuu wa Chuo hicho Balozi Mohammed Maundi akisiskiliza wakati viongozi hao wakisubiri kumpokea Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi alipotembelea Chuoni hapo leo tarehe 18 Mei, 2015 wakati akiendelea na ziara yake ya kitaifa ya siku tatu hapa nchini. Chuo cha Diplomasia kilichopo...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Karegeya 'was enemy of the state'

Williams Nkurunziza, Rwanda's high commissioner to the UK, has told the BBC that former Rwandan intelligence chief Patrick Karegeya had been an "enemy of the state".

 

11 years ago

BBCSwahili

Nani alimuua Kanali Karegeya?

Balozi wa Rwanda nchini Afrika Kusini Vincent Karega ametetea matamshi ya waziri mkuu wa Rwanda kuhusu mauaji ya kanali Patrick Karegeya

 

11 years ago

BBCSwahili

Karegeya aaga dunia mjini Johannesburg

Polisi nchini Afrika Kusini wamesema aliyekuwa mkuu wa idara ya ujasusi wa Rwanda Patrick Karegeya, amepatikana ameaga dunia

 

11 years ago

Mwananchi

Watu watatu wakamatwa kwa mauaji ya Karegeya

>Watu watatu wamekamatwa wakihusishwa na mauaji ta mkuu wa zamani wa ujasusi wa Rwanda, Patrick Karegeya aliyekutwa akiwa amekufa kwenye Hoteli ya Sandton mjini Johannesburg, Afrika Kusini wiki moja iliyopita.

 

10 years ago

GPL

WALIOMUUA AISHA MADINDA WASAKWA!

Stori: Waandishi Wetu
Kimenuka! Baada ya kuwepo kwa utata mkubwa juu ya kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya Bongo, Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’, inadaiwa kwamba waliohusika na kifo chake sasa wanasakwa kila kona. Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ enzi za uhai wake. Habari kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Dar, zilidai kwamba jeshi hilo ndilo lililozuia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israeli inawasaka waliomuua raia wa Eritrea

Raia huyo wa Eritrea alipigwa risasi na walinzi waliodhani kuwa alikuwa mshambuliaji wa pili.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliomuua Dk Mvungi waendelea kusota rumande

Jalada la kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi bado lipo kwa Mkuu wa Upelelezi wa kesi hiyo (RCO).

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Waliomuua Mawazo wanajulikana, wakamatwe

Mamia ya wakazi wa Mwanza na mikoa ya jirani jana walijitokeza kwa wingi kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo, huku aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa akisema waliomuua mwanasiasa huyo wanajulikana na endapo polisi hawatawakamata, Chadema watachukua hatua wenyewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani