JACK DUSTAN: WANAOJICHORA ‘TATUU’ ZA WAPENZI WANAJICHAFUA
![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrI-pwXRwTF*rXj*jLrDlRJ7X-Eg1Tf4OtszGFQxl3c*3MD4b-PFGXTzT4Z85P0xkNjmCjaRUM070m4C6GE2c2eM/4.jpg)
Stori: Imelda Mtema SOMO! Mrembo aliyejipatia umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus, Jacqueline Dustan ‘Jack’ ameweka wazi kuwa baadhi ya mastaa wanaojichora ‘tatuu’ za majina ya wapenzi wao ni kujichafua kwa sababu wanapoachana wanapata tabu kuzifuta. Mrembo aliyejipatia umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus, Jacqueline Dustan ‘Jack’. Akizungumza na gazeti hili, Jack alisema kwamba, katika maisha yake hawezi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXVpdDNYzUy1P-s7fL0xJkh5B3Ajn1-NBqSupvpms04ER0t329VYXAHUhtjaGZb9*DnA8iaDXBNCSu9Bqif5F51S/yete.jpg?width=650)
BETHIDEI YA JACK DUSTAN KUFURU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyInO7ajtyoP1*7Gj9lhcA2MIQXqy5Iaj05GQt6xDDBb*n8zap6D1WgQFkGkOiF9ALUejOkzj0uh-DXS3Uj6s44nb/Hamisi.jpg)
MCHUMBA AMSAKA JACK DUSTAN
10 years ago
GPLJACK DUSTAN ADAIWA ANA MIMBA YA MWARABU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOi7tLIHl8rehIPsBFGofV4iVO545A9S6MxFeHf64lYDn90aSgGtqtVp3Rrbwb484w9TbvTQwSdS99UAVqZnnzMO/JACKDUSTAN.jpg)
JACK DUSTAN AFUNGIA SKENDO YA KWENDA KUJIUZA THAILAND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8zMsCrs6Tu2olOJOHkxfvPaseJOXTIFQvOGYXZj-NfsEA0lcvWj12ia-ZitueqCnZkfitnTYPCs7ro5yLrydgj/jack.jpg)
AIBU! PICHA ZA JACK DUSTAN AKIOGA BAFUNI ZAVUJA
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Nyepesi Nyepesi: Jack Dustan Adaiwa Ana Mimba ya Mwarabu!
Mwigizaji wa filamu ambaye ni zao la Shindano la Maisha Plus, Jack Dustan anadaiwa ni mjamzito huku mlengwa wa mzigo huo akidaiwa kuwa Mwarabu aliyewahi kuripotiwa kuwa anatoka naye.
Jack alitua hivi karibuni akitokea Dubai alikokuwa akiponda maisha na mara kadhaa amewahi kutundika picha mtandaoni akiwa kimahaba na mwanaume huyo wa Kiarabu.
Akizungumzia madai hayo, Jack alisema: “Mimi ni mwanamke bwana, kuzaa ni wajibu kwa hiyo sioni kama ni skendo mimi kuwa na mimba.”
Alipoulizwa kama ni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVdk1cUsf5956ElOHcnSD4bAl*aQmqdTrormmsjMsnNTsCTSePWke3aB-flw7rmZpN72gwGJv*15oIxZxHpcLhOL/JACK.jpg?width=650)
JACK DUSTAN ANG’ANG’ANIA KUZAA NA MZUNGU
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Mashabiki wa Skylight Band kusheherekea Birthday ya Mr. Jack’s huku wa wakikaribishwa na SHOT za Jack Daniel’s leo
Mpango mzima unahisika kwa usiku wa leo pale Thai Village.
Vijana watanashati wa Skylight Band wakimsindikiza Sam Mapenzi (wa pili kuhsoto) kutoa burudani ya Live Music kwa mashabiki wa bendi hiyo Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam, huku usiku wa leo wataungana na mashabiki wake kusheherekea Birthday Mr. Jack’s huku mlangoni wakipata SHOT za Jack Daniel’s kusindikiza usiku huo.
Divas wa Skylight Band wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Wema Sepetu amwaga mijihela usiku maalum wa birthday ya Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s uliopambwa na Skylight Band
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji mvinyo na vinywaji vikali kikiwemo kinywaji cha Jack Daniel’s akitoa maelezo ya kinywaji cha Jack Daniel’s kwa mashabiki wa Skylight Band waliokuwa wakikaribishwa na SHOT za Mr. Jack’s kwenye usiku maalum wa kusheherekea siku ya kuzaliwa kwa Mr. Jack’s a.k.a Jack Daniel’s.
Doreen Mangula wa Mark Techno Limited ambao ni wauzaji na wasambazaji kinywaji cha Jack Daniel’s akizungumza na mashabiki wa Skylight Band kuhusina na...