JACQUELINE NTUYABALIWE AACHA HISTORIA
![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD4RxO1mzqHVt-6T0JksDw867iag8QKStZkFeXRJgEW65Gl0uRJYrdc*QRQGBVsEIhrpoifUh3aEwQLLZuxpOVUG/ExclusivePhotosHarusiyaKarneDr.ReginaldMenginaJacquelineNtuyabaliwewafungandoaBongo5.comMozillaFirefox44201525125PM001.jpg?width=)
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Abraham Mengi akiongea maneno ya kuapa na kumvisha pete ya ndoa Miss Tanzania mwaka 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe 'K-Lyn' wakati wakifunga ndoa. Mengi akimkumbatia K-Lynn kama ishara ya upendo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Apr
Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.
Mtandao wa Bongo5.com umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka...
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscb1ElRjPQbPDnGo7dDEMlWnHnOPvfsNESk9UEu0gsPb3sM*DUFXwqkCxDRhh6DK-bD1o4eTtxQxXqyDlPifJ2Vp/wema.jpg)
UZINDUZI YAMOTO BAND: WEMA AACHA HISTORIA
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Makala: Jackline Ntuyabaliwe, Miss Tanzania wa kwanza kuolewa na bilionea
Jacqueline Ntuyabaliwe maarufu kama K- Lynn alizaliwa katika Desemba 6, 1978, ni mtoto wa mwisho kuzaliwa ya watoto watatu. Alianza muziki mwaka 1997 akiwa na bendi ya Tanzania Tanzanites. Mwaka 2000 alishinda taji la Miss Tanzania na kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Miss World. Mwaka 2004 alitoa albamu yake ya kwanza kama ‘solo artist’ iitwayo ‘Nalia kwa Furaha’.
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-7cTuF9hTomE/Ulrn_KWWb6I/AAAAAAACBbw/PPQcrt1lSuw/s72-c/1391742_10151691603110920_1941473883_n.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jlj7Yacjzg0Z9qnU*hPEpMJdwEVsHuW2IGj2pL0CjopdkIn*Tf9PVTx67VBupJF1rnrpsNySx9Brm0pg9RpV5SIrKp*9OH31/GLOBALTV23.jpg?width=650)
JACQUELINE WOLPER ATEMBELEA GLOBAL
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEFeO7XL1OBSb0ekw8BoHwqnVzSsF5*71LkcMxprihDF*N0kB*Y7*IaYHI1ZkbVPAaiSLiazb-aQy2iYR673ek8z/Maureencropnew.jpg?width=650)
MAUREEN AACHA MKOROGO
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.