Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JACQUELINE NTUYABALIWE AACHA HISTORIA

Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Abraham Mengi akiongea maneno ya kuapa na kumvisha pete ya ndoa Miss Tanzania mwaka 2000, Jacqueline Ntuyabaliwe 'K-Lyn' wakati wakifunga ndoa. Mengi akimkumbatia K-Lynn kama ishara ya upendo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Bongo5.com watoa picha maalum za ndoa ya Dk.Reginald Mengi na Jacqueline Ntuyabaliwe, Nchini Mauritius

Mengi-1

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Ni kama ndoto lakini mwishowe inakuwa si ndoto bali ni tukio halisi baada ya awali kuzagaa kwa picha tofautio 9, za Harusi ya Mfanyabiashara na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Nchini, Dk. Reginald Mengi akiwa katika harusi  na Jacqueline Ntuyabaliwe, huko fukwe za visiwa vya hadhi ya juu Nchini Mauritius.

mengi-3

Mtandao wa Bongo5.com  umekuwa wa kwanza kurusha picha hizo (Exclusive) huku wakiweka ‘brand’ yao kwenye picha hizo ambapo walibandika picha 9 kutoka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi: Mkewe Reginald Mengi adai kuzuiwa kuona kaburi la mumewe Tanzania

Mwaka mmoja baada ya kifo cha bilionea wa Tanzania Reginald Mangi, tayari kumeibuka mgogoro katika familia yake, baada ya mkewe Jacqueline Mengi kudai kwamnba amenyimwa kuona kaburi la mumewe.

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI YAMOTO BAND: WEMA AACHA HISTORIA

Stori:Shani Ramadhani, Issa Mnally na Gabriel Ng’osha
“MADAM...Madam...Madam...” ndizo kelele zilizosikika wakati Beutiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’ alipokuwa akimtunza fedha nyingi dogo machachari wa Bendi ya Yamoto, Asilahi Isiyaka ‘Dogo Aslay’. Aslay akimwagiwa minoti na Beutiful Onyinye, Wema Sepetu ‘Madam’. Tukio hilo limetokea ndani ya ukumbi wa Dar Live...

 

10 years ago

GPL

CHRISTIAN BELLA AACHA HISTORIA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE

Christian Bella akiimba na mashabiki wimbo wa Usilie. Bella akiwakonga mashabiki jukwaani.…

 

10 years ago

CloudsFM

Makala: Jackline Ntuyabaliwe, Miss Tanzania wa kwanza kuolewa na bilionea

Jacqueline Ntuyabaliwe maarufu kama K- Lynn alizaliwa katika Desemba 6, 1978, ni mtoto wa mwisho kuzaliwa ya watoto watatu. Alianza muziki mwaka 1997 akiwa na bendi ya Tanzania Tanzanites. Mwaka 2000 alishinda taji la Miss Tanzania na kuiwakilisha nchi kwenye mashindano ya Miss World. Mwaka 2004 alitoa albamu yake ya kwanza kama ‘solo artist’ iitwayo ‘Nalia kwa Furaha’.

Miaka mitatu baadaye alitoa albamu nyingine iitwayo ‘Crazy juu You’. Baada ya miaka karibu kumi akiwa katika sekta ya...

 

11 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER ATEMBELEA GLOBAL

Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper akiwa katika pozi. Jacqueline Wolper Massawe (kushoto) akiwa na Afisa Masoko wa Global Publishers, Benjamin Mwanambu (kulia).…

 

9 years ago

GPL

MAUREEN AACHA MKOROGO

Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary. Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary ambaye pia ni mcheza filamu, baada ya kujichubua na kubadili ngozi yake ameamua kuacha mkorogo kutokana na marafiki kumuonya kila kukicha. Rafiki wa karibu na Maureen alisema kuwa sasa ameamua kuacha mkorogo kwani hakuna aliyekuwa akimsapoti kutokana na kujichubua kwake.“Yaani marafiki tumesababisha mpaka Maureen ameacha mkorogo...

 

10 years ago

Habarileo

Mwandosya aacha wosia

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark MwandosyaWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani