MAUREEN AACHA MKOROGO
![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEFeO7XL1OBSb0ekw8BoHwqnVzSsF5*71LkcMxprihDF*N0kB*Y7*IaYHI1ZkbVPAaiSLiazb-aQy2iYR673ek8z/Maureencropnew.jpg?width=650)
Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary. Mshiriki wa Miss Tanzania 2005, Maureen Gislary ambaye pia ni mcheza filamu, baada ya kujichubua na kubadili ngozi yake ameamua kuacha mkorogo kutokana na marafiki kumuonya kila kukicha. Rafiki wa karibu na Maureen alisema kuwa sasa ameamua kuacha mkorogo kwani hakuna aliyekuwa akimsapoti kutokana na kujichubua kwake.“Yaani marafiki tumesababisha mpaka Maureen ameacha mkorogo...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Maureen Redd’s Miss Nyanda za Juu Kusini
MREMBO Maureen Godfrey kutoka Mkoa mpya wa Njombe, juzi usiku alivishwa taji la kuwa Redd’s Miss Nyanda za Juu Kusini na kujinyakulia kitita cha sh. milioni 1 baada ya kuwabwaga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj2Mhd95G38x0-GPkRWVxbgB2h1C4Q-qpjz35gjBf2d7Tdzb1onFaqcoH2kfNgXbFdORBhuyddVqum7TGVnpQeQt/tiko.jpg?width=650)
TIKO ATESWA NA MKOROGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXXQzYNuGiA8loCJq3sYmDUo7QIKJ*V09V1p4FvLmHepc2g5gZyNIEZ56Lw8qlab3G-h7pixx-lckZxd36oyfk3S/mainda.jpg)
MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3Ru7vQ7*JW-1LgvHqLvYg4m1muCFvtb9KArlfUUL0C66vDzr6MwMMcm3zP461FuU5dWOsDXD7-*EF3LjzG16POa/wema.jpg?width=650)
MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wXsASYapn4rG7V673y8P8aEb88xk4LWm0Q2ExiEZZJX-Wkd89fJ4kcTuKg7VB9uz1PLciKthekwUqEJn12JJ4B6/amini.jpg?width=650)
MWEZI MTUKUFU MKOROGO UTANIKOMA - MAIMARTHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*oug5NmDOByu5OQ3KWjlZzAGDHx8VBy4at8wEHItmmOEF*4KTZMXXrA*MHbNt95IJQiVD3NGtmEMuQv3cO1VMwd/sauda.jpg)
‘SAUDA MWILIMA ACHA MKOROGO’
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Nyoshi: Nimetumia mkorogo tangu miaka sita
NA RHOBI CHACHA
MWIMBAJI na kiongozi wa Bendi ya Fm Academia, Nyoshi Elsaadat, amesema alianza kuchubua ngozi ya uso wake kwa mkorogo tangu akiwa na miaka sita.
Nyoshi anawashangaa wanaomuona wa ajabu huku akidai kujichubua kwake ni kujipamba kama wanamuziki wengi wa Kongo wafanyavyo.
“Sioni ajabu kupaka mkorogo, nimeanza tangu nikiwa darasa la sita hadi leo ni miaka mingi pia napaka kwa kuwa ni mwanamuziki ninayejua kujipamba nashangaa wanaonishangaa,’’ alisema Nyoshi.
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko
RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa
Joseph Mihangwa
10 years ago
Habarileo09 Jul
Mwandosya aacha wosia
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Mark Mwandosya ameaga rasmi ubunge na kutoa wosia kwa mawaziri watakaoteuliwa katika Serikali ijayo, kuwa wasikivu kwa wabunge, ili taifa lifikie maendeleo.