MAINDA NA UGUMU WA KUACHA MKOROGO

Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amefunguka kuwa miongoni mwa vitu vilivyokuwa vimeuteka ujana wake ni pamoja na matumizi ya mkorogo ambapo ilikuwa vigumu kuacha baada ya kuokoka. Staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’. Akipiga stori na paparazi wetu, Mainda alisema kutokana na starehe za ujana pamoja na kutaka kuonekana mrembo, alitumia vipodozi hatari bila kujua...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
TIKO ATESWA NA MKOROGO
10 years ago
GPL
MAUREEN AACHA MKOROGO
11 years ago
GPL
MKOROGO WAMTIA ADABU WEMA
11 years ago
GPL
MWEZI MTUKUFU MKOROGO UTANIKOMA - MAIMARTHA
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Nyoshi: Nimetumia mkorogo tangu miaka sita
NA RHOBI CHACHA
MWIMBAJI na kiongozi wa Bendi ya Fm Academia, Nyoshi Elsaadat, amesema alianza kuchubua ngozi ya uso wake kwa mkorogo tangu akiwa na miaka sita.
Nyoshi anawashangaa wanaomuona wa ajabu huku akidai kujichubua kwake ni kujipamba kama wanamuziki wengi wa Kongo wafanyavyo.
“Sioni ajabu kupaka mkorogo, nimeanza tangu nikiwa darasa la sita hadi leo ni miaka mingi pia napaka kwa kuwa ni mwanamuziki ninayejua kujipamba nashangaa wanaonishangaa,’’ alisema Nyoshi.
11 years ago
GPL
‘SAUDA MWILIMA ACHA MKOROGO’
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Baraza jipya la mawaziri, mkorogo usio hamasa kwa mabadiliko
RAIS John Pombe Magufuli (JPM) amekwishaunda Wizara 18 za Serikali yake na kutangaza mawaziri wa
Joseph Mihangwa
10 years ago
Mwananchi07 May
HakiElimu yabashiri ugumu wa bajeti
10 years ago
GPL
UGUMU WA LOWASSA KUINGIA IKULU