Jaja Vs Zahir ni shiida, Maximo awaamua mara 3
![](http://api.ning.com:80/files/zR-FkEEcSb*e1YyvupxdgdqIIJTyfQRM8IEvo8m0*xdTzUXurDk1lgrtrCkAv*GgMT8sXdBBR2HGI3VbD7WXmUrgM1Bdu4aX/11.jpg?width=650)
Beki Rajab Zahir (kulia) dhidi ya Genilson Santos ‘Jaja’ (kushoto), wamekuwa na kazi ya ziada mazoezini. Richard Bukos na Sweetbert Lukonge KWELI Yanga imepania kufanya kweli, kila mchezaji anataka kuonyesha uwezo wa juu, lakini ushindani huo umesababisha upinzani kuwa mkali kwa wachezaji wa timu hiyo, beki Rajab Zahir dhidi ya Genilson Santos ‘Jaja’, ambapo wamekuwa na kazi ya ziada...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Maximo amkingia kifua Jaja
![Marcio Maximo](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Marcio-Maximo.jpg)
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, amemkingia kifua mchezaji wake, Mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ kwa kuwataka mashabiki wasitegemee vitu vingi kutoka kwa wachezaji warefu kwani wana vitu vichache vyenye mafanikio.
Maximo aliyasema hayo juzi baada ya mechi yao ya kirafiki dhidi ya Thika United ya nchini Kenya iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 lilofungwa na Jaja,...
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maximo atetea uwezo wa Jaja
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maximo awatetea Coutinho, Jaja
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Maximo awaongezea ‘sumu’ Jaja, Tegete
10 years ago
Mwananchi23 Nov
Jaja ‘out’ Yanga, Maximo aleta nyota mwingine
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yC7AOXGJlPVaQeT-BmUYyWOppPglguJBJLpYYzKWbHpxW6-IuuyFky5agocfPQVB5SStn*lJ0ELCahwDCJD*i4zvdqFKaKvj/maxi.jpg)
Maximo, Phiri waungana... kwa Jaja, Okwi
10 years ago
Vijimambo21 Sep
YANGA YA MAXIMO YACHARAZWA 2-0 NA MTIBWA SUGAR JAMHURI…JAJA AKOSA PENALTI
![](http://shaffihdauda.com/wp-content/uploads/2014/09/yanga-team-1-640x320.jpg)
MBRAZIL Marcio Maximo amepoteza mechi yake ya kwanza akiiongoza Yanga baada ya kukubali kipigo ‘swaafi’ kabisa cha mabao 2-0 kutoka kwa Mtibwa Sugar, uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro jioni hii.Katika mechi hiyo ya kukata na shoka, Mbrazil mwingine, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ naye ameweka rekodi ya kukosa mkwaju wa kwanza wa penalti akiichezea Yanga katika mechi yake ya kwanza ya ligi kuu.
Mabingwa hao wa 1999 na 2000 wakiongozwa na mwanafunzi wa zamani wa Maximo, Mecky...
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA
10 years ago
Vijimambo10 Jul