Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JAJI AKUBALI RUFAA DHIDI YA OSCAR PISTORIUS

Mwanariadha Oscar Pistorius. MAHAKAMA nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka, Gerrie Nel kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Oscar Pistorius baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Kiongozi wa Mashitaka, Gerrie Nel. Kesi hiyo, sasa itaanza kusikiliza katika mahakama ya juu zaidi upande wa mashitaka ukitaka Pistorius ahukumiwe kwa kumuua mpenzi wake kwa makusudi.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jaji akubali rufaa dhidi ya Pistorius

Mahakama nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka kukata rufaa dhidi ya kosa alilopatikana nalo hatia Oscar Pistorius la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.

 

10 years ago

GPL

RUFAA YA OSCAR PISTORIUS YATUPILIWA MBALI

Mwanariadha Oscar Pistorius. JAJI Thokozile Masipa ametupilia mbali rufaa ya mwanariadha anayehudumia kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake, Oscar Pistorius huko Afrika Kusini. Oscar Pistorius akiwa na Reeva Steenkamp. Rufaa hiyo iliwasilishwa na makili wa mwanariadha huyo ambaye ni mlemavu wa miguu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ampata na hatia Oscar Pistorius

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp pasi na kukusudia.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko

Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344  yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu

 

10 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Oscar Pistorious yatupwa

Mawakili wa mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini Oscar Pistorius anayehudumia kifungo jela wamepoteza kesi ya rufaa

 

9 years ago

BBC

What next for Oscar Pistorius?

Why killer athlete set to remain behind bars - for now

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius 'has no money'

The sentencing hearing of Oscar Pistorius hears the athlete has no money left after the seven-month trial.

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA OSCAR PISTORIUS YAENDELEA

Oscar Pistorius akiwa amesimama ndani ya mahakama jijini Pretoria baada ya Jaji Thokosile Masipa kuwasili kwa ajili ya kusoma hukumu. Oscar Pistorius  akisikiliza hukumu yake.…

 

10 years ago

BBC

Oscar Pistorius set for sentencing

South African athlete Oscar Pistorius is due back in court in Pretoria to hear his sentence for killing girlfriend Reeva Steenkamp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani