Rufaa ya Oscar Pistorious yatupwa
Mawakili wa mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini Oscar Pistorius anayehudumia kifungo jela wamepoteza kesi ya rufaa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Oscar Pistorious arejea mahakamani
Kesi ya mwanaradha maarufu Oscar Pistorious anayeshutumiwa kwa mauaji ya mpenzi wake imeanza tena katika mahakama mjini Pretoria
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Oscar Pistorious kuachiliwa, August.
Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti .
9 years ago
Bongo520 Oct
Hatimaye Oscar Pistorious atolewa jela
Mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini, Oscar Pistorious ameachiwa kutoka jela Jumatatu usiku Oct.20. Pistorious ambaye alikaa jela kwa takribani mwaka mmoja, atamalizia kutumikia kifungo kilichobaki nyumbani kwa mjomba wake jijini Pretoria. Oscar Pistorious (28) alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kosa la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Source: BBC Jiunge na Bongo5.com sasa […]
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0Ch6269gUkI/XqmDRVbqycI/AAAAAAALok4/0XpYKuFVzXIKL7b6QvNE93Of7a1V40m8ACLcBGAsYHQ/s72-c/logo.jpg)
RUFAA YA DC CHEMBA, YATUPWA AAMRIWA KUTOA MATUNZO YA MTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Ch6269gUkI/XqmDRVbqycI/AAAAAAALok4/0XpYKuFVzXIKL7b6QvNE93Of7a1V40m8ACLcBGAsYHQ/s640/logo.jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WVcLliQZnruMPIMbElWs1-AmnNklDhYVhgyX32nv5IyMNL6BX0a931w3PP1zyMNdRbgrzOjOGanl73dGvuZhsf/PISTORIUS.jpg?width=650)
RUFAA YA OSCAR PISTORIUS YATUPILIWA MBALI
Mwanariadha Oscar Pistorius. JAJI Thokozile Masipa ametupilia mbali rufaa ya mwanariadha anayehudumia kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake, Oscar Pistorius huko Afrika Kusini. Oscar Pistorius akiwa na Reeva Steenkamp. Rufaa hiyo iliwasilishwa na makili wa mwanariadha huyo ambaye ni mlemavu wa miguu.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcUWH4nxttmS3fiJlnYUxW4SpKuHc*jrDCJbzIsO2vVzm*NYpZyT6DB7mASATGBnf*MEangxXV4DEoEH8xcW7Wq2/PISTORIUS.jpg?width=650)
JAJI AKUBALI RUFAA DHIDI YA OSCAR PISTORIUS
Mwanariadha Oscar Pistorius. MAHAKAMA nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka, Gerrie Nel kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Oscar Pistorius baada ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Kiongozi wa Mashitaka, Gerrie Nel. Kesi hiyo, sasa itaanza kusikiliza katika mahakama ya juu zaidi upande wa mashitaka ukitaka Pistorius ahukumiwe kwa kumuua mpenzi wake kwa makusudi.… ...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344Â yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko.
Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Pistorious kuachiliwa Ijumaa
Mwanariadha mshindi wa nishani ya dhahabu ya Olimpiki katika raidha Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka gerezani ijumaa wiki hii.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Pistorious aondoka gerezani
Oscar Pistorius, ameruhusiwa kuondoka gerezani , mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kuua bila kukusudia ,Reeva Steen-kamp.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania