Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorious kuachiliwa Ijumaa

Mwanariadha mshindi wa nishani ya dhahabu ya Olimpiki katika raidha Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka gerezani ijumaa wiki hii.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorious kuachiliwa, August.

Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti .

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Pistorious ni leo

Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pistorious aondoka gerezani

Oscar Pistorius, ameruhusiwa kuondoka gerezani , mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kuua bila kukusudia ,Reeva Steen-kamp.

 

10 years ago

GPL

PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp enzi za uhai… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa

Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak

 

10 years ago

BBCSwahili

Ravalomanana kuachiliwa huru Madagascar

Rais wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina, anasema kuwa anaondoa kifungo cha nyumbani dhidi ya Ravalomanana

 

11 years ago

BBCSwahili

US yapinga kuachiliwa wafungwa Afghanistan

Maafisa nchini Afghanistan wamewaachiwa wafungwa 65, ambao US inasema walihusika na mauaji ya walinda amani na wanajeshi wa Afghanistan.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kuachiliwa kwa Pistorius kumepingwa

Waziri wa sheria nchini Afrika Kusini amepinga uamuzi wa kuachiliwa kwa mwanariadha Oscar Pistorius

 

10 years ago

StarTV

Hatma Kesi ya Pistorious ni leo.

Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.

 
Akipitia maelezo ya upande wa mashitaka na upande wa utetezi katika kesi hii ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini.

 
Aliepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia .

 
Mengi yamesemwa na raia wa A-Kusini katika kesi hii kwamba Jaji hakuonesha uadilifu kumpata Oscar Pestorius na hatia ya kuua bila kukusudia badala ya kuua kwa makusudi.

 

BBC

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani