Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oscar Pistorious kuachiliwa, August.

Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Pistorious kuachiliwa Ijumaa

Mwanariadha mshindi wa nishani ya dhahabu ya Olimpiki katika raidha Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka gerezani ijumaa wiki hii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rufaa ya Oscar Pistorious yatupwa

Mawakili wa mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini Oscar Pistorius anayehudumia kifungo jela wamepoteza kesi ya rufaa

 

11 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorious arejea mahakamani

Kesi ya mwanaradha maarufu Oscar Pistorious anayeshutumiwa kwa mauaji ya mpenzi wake imeanza tena katika mahakama mjini Pretoria

 

9 years ago

Bongo5

Hatimaye Oscar Pistorious atolewa jela

Mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini, Oscar Pistorious ameachiwa kutoka jela Jumatatu usiku Oct.20. Pistorious ambaye alikaa jela kwa takribani mwaka mmoja, atamalizia kutumikia kifungo kilichobaki nyumbani kwa mjomba wake jijini Pretoria. Oscar Pistorious (28) alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kosa la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Source: BBC Jiunge na Bongo5.com sasa […]

 

10 years ago

GPL

PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp enzi za uhai… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Pistorious ni leo

Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pistorious aondoka gerezani

Oscar Pistorius, ameruhusiwa kuondoka gerezani , mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kuua bila kukusudia ,Reeva Steen-kamp.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ravalomanana kuachiliwa huru Madagascar

Rais wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina, anasema kuwa anaondoa kifungo cha nyumbani dhidi ya Ravalomanana

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa

Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani