Oscar Pistorious kuachiliwa, August.
Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Pistorious kuachiliwa Ijumaa
Mwanariadha mshindi wa nishani ya dhahabu ya Olimpiki katika raidha Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka gerezani ijumaa wiki hii.
10 years ago
BBCSwahili13 Mar
Rufaa ya Oscar Pistorious yatupwa
Mawakili wa mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini Oscar Pistorius anayehudumia kifungo jela wamepoteza kesi ya rufaa
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Oscar Pistorious arejea mahakamani
Kesi ya mwanaradha maarufu Oscar Pistorious anayeshutumiwa kwa mauaji ya mpenzi wake imeanza tena katika mahakama mjini Pretoria
9 years ago
Bongo520 Oct
Hatimaye Oscar Pistorious atolewa jela
Mwanariadha mlemavu wa Afrika kusini, Oscar Pistorious ameachiwa kutoka jela Jumatatu usiku Oct.20. Pistorious ambaye alikaa jela kwa takribani mwaka mmoja, atamalizia kutumikia kifungo kilichobaki nyumbani kwa mjomba wake jijini Pretoria. Oscar Pistorious (28) alihukumiwa kwenda jela miaka mitano kwa kosa la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Source: BBC Jiunge na Bongo5.com sasa […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5
Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp enzi za uhai… ...
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Kesi ya Pistorious ni leo
Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Pistorious aondoka gerezani
Oscar Pistorius, ameruhusiwa kuondoka gerezani , mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kuua bila kukusudia ,Reeva Steen-kamp.
10 years ago
BBCSwahili03 May
Ravalomanana kuachiliwa huru Madagascar
Rais wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina, anasema kuwa anaondoa kifungo cha nyumbani dhidi ya Ravalomanana
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa
Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania