Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


US yapinga kuachiliwa wafungwa Afghanistan

Maafisa nchini Afghanistan wamewaachiwa wafungwa 65, ambao US inasema walihusika na mauaji ya walinda amani na wanajeshi wa Afghanistan.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA

Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amemtaka Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa ambao wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao kwa kwa muda wa miezi sita sasa au zaidi, kama moja ya njia ya kukabiliana na ueneaji wa virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.Rais wa Nigeria amenukuliwa akisema kuwa, asilimia 42 ya wafungwa 74,000 wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao, hivyo amemtaka Ibrahim Tanko Muhammad Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa hao na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pistorious kuachiliwa Ijumaa

Mwanariadha mshindi wa nishani ya dhahabu ya Olimpiki katika raidha Oscar Pistorius ataachiliwa kutoka gerezani ijumaa wiki hii.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kuachiliwa kwa Pistorius kumepingwa

Waziri wa sheria nchini Afrika Kusini amepinga uamuzi wa kuachiliwa kwa mwanariadha Oscar Pistorius

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa

Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak

 

10 years ago

BBCSwahili

Oscar Pistorious kuachiliwa, August.

Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti .

 

10 years ago

BBCSwahili

Ravalomanana kuachiliwa huru Madagascar

Rais wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina, anasema kuwa anaondoa kifungo cha nyumbani dhidi ya Ravalomanana

 

10 years ago

BBCSwahili

Pistorius 'kuachiliwa huru mwezi Agosti'

Mwanariadha mlemavu kutoka Afrika Kusini Oscar Pistorius huenda akaachiliwa huru Agosti tarehe 21

 

9 years ago

StarTV

Taarifa za Shekh Ponda kuachiliwa huru.

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa morogoro imemwachia huru katibu wa jumuiya na taasisi za kiislamu tanzania sheikh ponda issa ponda baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa yake

Akitoa hukumu hiyo hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo mary moyo amesema mahakama haikumkuta na makosa baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha pasipo kuacha shaka

Amesema mahakama imemwachia huru sheikh ponda baada ya kuroridhishwa na ushahidi kulingana na sheria ya mwenendo wa mashauri ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maadhimisho ya kuachiliwa kwa Nelson Mandela: Kwanini alikuwa mtu muhimu ?

Leo ni siku ambayo Nelson Mandela anaadhimisha miaka 30 tangu alipoachiliwa kutoka gerezani wakati wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika kusini. NI siku inayotumika kumuenzi na kutambua mafanikio yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani