Taarifa za Shekh Ponda kuachiliwa huru.
Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa morogoro imemwachia huru katibu wa jumuiya na taasisi za kiislamu tanzania sheikh ponda issa ponda baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa yake
Akitoa hukumu hiyo hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo mary moyo amesema mahakama haikumkuta na makosa baada ya upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha pasipo kuacha shaka
Amesema mahakama imemwachia huru sheikh ponda baada ya kuroridhishwa na ushahidi kulingana na sheria ya mwenendo wa mashauri ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cFMYuxli1wY/VlwE_uQUQlI/AAAAAAAIJHY/hwqVLyQnVtc/s72-c/ponda_clip.jpg)
BREAKING NEWWWWWWS!!!!! SHEKH ISSA PONDA AACHIWA HURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-cFMYuxli1wY/VlwE_uQUQlI/AAAAAAAIJHY/hwqVLyQnVtc/s640/ponda_clip.jpg)
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Morogoro imemuachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi baada ya mahakama kutoridhishwa na ushahidi wa upande wa mashtaka na hivyo kuonekana hana hatia.
10 years ago
BBCSwahili03 May
Ravalomanana kuachiliwa huru Madagascar
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Pistorius 'kuachiliwa huru mwezi Agosti'
5 years ago
CCM Blog23 Apr
RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA
![Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona](https://media.parstoday.com/image/4bpqfd2283886917dhn_800C450.jpg)
10 years ago
Habarileo28 Nov
Shekhe Ponda aachiwa huru
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemwachia huru Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shekhe Issa Ponda kutokana na upande wa mashitaka kushindwa kuthibitisha makosa dhidi yake.
9 years ago
Habarileo01 Dec
Shehe Ponda aachiwa huru
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Shehe Ponda Issa Ponda ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwona hana hatia katika kesi iliyokuwa ikimkabili. Shehe Ponda alifunguliwa kesi namba 128, Agosti 19, 2013 katika mahakama hiyo baada ya kudaiwa kutenda kosa la kuvunja sheria ya nchi Kifungu Namba 24 cha Kanuni ya Adhabu.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Mahakama yamuachia huru Sheikh Ponda
10 years ago
GPLMAHAKAMA KUU YAMUACHIA HURU SHEIKH PONDA LEO
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-vuWvRF7EB9I/VlwNvjRZ2wI/AAAAAAAA1VE/UoCiSIA4-1c/s72-c/IMG_20151130_114441.jpg)