Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatma Kesi ya Pistorious ni leo.

Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.

 
Akipitia maelezo ya upande wa mashitaka na upande wa utetezi katika kesi hii ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini.

 
Aliepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia .

 
Mengi yamesemwa na raia wa A-Kusini katika kesi hii kwamba Jaji hakuonesha uadilifu kumpata Oscar Pestorius na hatia ya kuua bila kukusudia badala ya kuua kwa makusudi.

 

BBC

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Pistorious ni leo

Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.

 

9 years ago

Habarileo

Hatma ya kesi ya meta 200 kutolewa leo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa uamuzi kuhusu shauri la kikatiba lililofunguliwa na Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Amy Kibatala likihoji uhalali wa wapigakura kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kupigia kura.

 

10 years ago

GPL

KESI YA PISTORIOUS KUENDELEA OKTOBA 21, 2014

Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius akiwa mahakamani siku ya leo. Aimee Pistorius (katikati) akimuangalia kaka yake, Oscar Pistorius wakati wakili wake Barry Roux's akiendelea kumtetea (hayupo pichani), Kulia wa pili ni shangazi yake, Lois akiwa na mjomba wake Arnold (kulia).…

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Nini hatma ya kesi ya Kenyatta?

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya atajua hii leo hatma ya kesi inayomkabili ICC ikiwa itaendelea au la baada ya upande wa mashitaka kukosa ushahidi

 

10 years ago

Habarileo

Hatma ya Escrow leo

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kukata mzizi wa fitina kwa kutoa maamuzi juu ya mapendekezo nane yaliyowasilishwa kwake na Bunge, kutokana na sakata lililozua mtafaruku bungeni la akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

GPL

PISTORIUS KUJUA HATMA YAKE LEO

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake leo. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius yuko mahakamani mjini Pretoria ambako jaji anatoa hukumu dhidi yake . Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp mwaka uliopita. Mwanariadha wa Afrika Kusini… ...

 

9 years ago

Bongo5

Roman Abramovich kuamua hatma ya Jose Mourinho Chelsea leo

Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich atalazimika kumlipa Jose Mourinho zaidi ya pauni milioni 40 kama atamfukuza kazi ya kuwa kocha wa Chelsea kwenye kikao cha dharura siku ya Jumatano.

Roman-Abramovich

Abramovich alikuwa na mazungumzo na timu ya makocha – Bruce Buck, Marina Granovskaia, Eugene Tenenbum na Michael Emenalo – kuhusu mustakabali wa Mourinho.

Wakati Mreno huyo aliporejea klabuni hapo mwaka 2013, bodi ilimpigia kura 3-2 kumpendekeza yeye. Leo litakuwa suala jingine.

2F6063C200000578-0-Roman_Abramovich_will_be_forced_to_pay_Jose_Mourinho_more_than_4-a-2_1450213633301

Mourinho anayelipwa...

 

10 years ago

GPL

PISTORIOUS AFUNGWA MIAKA 5

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp. Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp enzi za uhai… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Pistorious aondoka gerezani

Oscar Pistorius, ameruhusiwa kuondoka gerezani , mwaka mmoja tu baada ya kufungwa jela kwa kosa la kuua bila kukusudia ,Reeva Steen-kamp.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani