KESI YA PISTORIOUS KUENDELEA OKTOBA 21, 2014
Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius akiwa mahakamani siku ya leo. Aimee Pistorius (katikati) akimuangalia kaka yake, Oscar Pistorius wakati wakili wake Barry Roux's akiendelea kumtetea (hayupo pichani), Kulia wa pili ni shangazi yake, Lois akiwa na mjomba wake Arnold (kulia).…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
Kesi ya Pistorious ni leo
10 years ago
StarTV13 Oct
Hatma Kesi ya Pistorious ni leo.
Leo Jaji Tokozile Masipa ataanza kusoma maelezo ya mwisho ya kesi ya Oscar Pestorius yatakayachukua siku nne.
Akipitia maelezo ya upande wa mashitaka na upande wa utetezi katika kesi hii ya mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini.
Aliepatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia .
Mengi yamesemwa na raia wa A-Kusini katika kesi hii kwamba Jaji hakuonesha uadilifu kumpata Oscar Pestorius na hatia ya kuua bila kukusudia badala ya kuua kwa makusudi.
BBC
11 years ago
Michuzi06 Aug
10 years ago
Habarileo28 Aug
Hatima ya kesi ya Lukaza Oktoba 8
HATIMA ya washitakiwa wawili wa kesi ya wizi wa Sh bilioni sita za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), itajulikana Oktoba 8 mwaka huu wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itakapotoa uamuzi kama wana kesi ya kujibu au la.
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Kesi dhidi ya rais Kenyatta ni Oktoba
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Kesi ya Ekelege kuendelea leo
10 years ago
Habarileo21 Nov
Kesi ya Ponda kuendelea Novemba 27
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha hukumu inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Shehe Issa Ponda hadi Novemba 27 mwaka huu. Hukumu hiyo ilikuwa itolewe jana.
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Kesi ya Morsi kuendelea Misri
9 years ago
StarTV23 Oct
 Uamuzi kesi wa mita 200  iliyofunguliwa kutolewa Oktoba 23
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imetoa maelekezo kuwa Oktoba 23 mwaka huu itatoa Uamuzi dhidi ya Kesi iliyofunguliwa ya Kikatiba kuhusu Tafsiri sahihi ya Umbali anaotakiwa kusimama Mpiga kura baada ya kupiga kura.
Kesi hiyo Namba 37 ya Mwaka 2015 iliyofunguliwa na Amy Kibatala anayeongozwa na Wakili Peter Kibatala, ambaye anataka Tafsiri ya kifungu 104 (1) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi kuhusu kukaa umbali wa mita mia 200 baada ya kupiga kura
Kesi hiyo imeanza kuunguruma mapema Wiki...