JAJI MKUU WA TANZANIA AWASILI JIJINI MWANZA KUELEKEA TABORA KWA AJILI YA ZIARA YA KIKAZI
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akiongozana na Mhe. Robert Makaramba alipopokelewa mapema leo katika Uwanja wa Ndege Mwanza, nyuma ni baadhi ya Maafisa wa Mahakama wa Mkoani Mwanza waliofika kumpokea Mhe. Jaji Mkuu. Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (kushoto). akifurahia jambo na Mhe. Jaji Robert Makaramba, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, katika chumba maalum cha wageni (VIP room) alipofika mkoani Mwanza mapema leo tayari kwa ziara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AWASILI MKOANI TABORA KATIKA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
Lengo la ziara ya Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (Arabian Gulf) na bara la Afrika.
Vile vile Waziri Mkuu anatarajiwa kutangaza fursa za uwekezaji nchini Tanzania,...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI TANGA KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Marubani na wahudumu wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATC) kabla ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kuelekea Tanga , Machi 1, 2020. Waziri mkuu ameanza ziara ya kikazi ya Mkoa wa Tanga kwa kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kulia) aliyoyatoa kwa Watanzania ya kutosalimiana kwa kushikana mikono au kukumbatiana ikiwa ni tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona. ...
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu Mizengo Pinda awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
11 years ago
Dewji Blog14 May
Katibu Mkuu wa Shirika la kimataifa la usafiri wa anga (ICAO) Bw. Raymond Benjamin awasili nchini kwa ziara ya 5 kikazi
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiongozana na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) Raymond Benjamin baada ya kuwasilia katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam,kwa ziara ya kikazi nchini kuanzia leo tarehe 14n hadi 18 Mei 2014. Tanzania ni moja ya nchi mbili ikiwemo Ethiopia atakazotembelea katika Kanda ya ICAO .
Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO) BW,RAYMOND BENJAMIN AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI