JAJI MKUU AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOrEGqEHN90/VPGKrs3zhMI/AAAAAAAHGcE/cKpBqLAp8gY/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (kulia), akijadili jambo na Mhe. Ludovick Mwananzila, Mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea Ofisi ya Mkoa wa Tabora alipokuwa katika ziara yake ya kikazi ya kutembelea Mahakama mkoani humo.
Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (kulia), Mhe. Ludovick Mwananzila, Mkuu wa Mkoa wa Tabora (katikati), Mhe. Jaji Amir Mruma, Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu, Kanda ya Tabora (kushoto), wakitoa nje ya jengo la Ofisi ya Mkuu wa Tabora, mara baada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJAJI MKUU AWASILI MKOANI TABORA KATIKA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA AWASILI JIJINI MWANZA KUELEKEA TABORA KWA AJILI YA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVFn7Q5vllqVdgnCy7du8XCxjso7prDfOtaiOwL9bIG46Ezt5URu799d4m0xXDTxl*qouY5dgI10FymR9oUvAktK/unnamed43.jpg?width=650)
MHE. JAJI MKUU AHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI TABORA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4ejHCr5M3o/UzMnHNDG9-I/AAAAAAAFWqY/yIuI5B9N7UY/s72-c/unnamed+(5).jpg)
JK AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TANGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-y4ejHCr5M3o/UzMnHNDG9-I/AAAAAAAFWqY/yIuI5B9N7UY/s1600/unnamed+(5).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga leo.Mradi huo utavinufaisha vijiji vinane katika wilaya hiyo yenye uhaba mkubwa wa maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-TMhZ67mnhNI/UzMnUZzCMgI/AAAAAAAFWqg/L11ibbQOX-o/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nl6iJs4MCbU/UzMnUZzeakI/AAAAAAAFWqk/1a_V0lC4I7Y/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s72-c/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
WAZIRI MKUU KESHO KUANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI KIGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-aGSaruYT-us/Vn4ummVbIQI/AAAAAAAIOuA/cwTUKygKOVg/s320/Regional-Administration-and-Local-Government-Deputy-Minister-Education-Kassim-Majaliwa.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara hiyo Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya alisema kuwa Waziri Mkuu atawasili Mkoani hapa kesho majira ya saa tatu asubuhi.
Alisema kuwa atapokelewa na viongozi mbalimbali wa serikali ya Mkoa na kisha atasomewa taarifa ya Mkoa.
Baada ya hapo ataelekea katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fKxqO_dA8hc/Xkz19IsoILI/AAAAAAAAmww/pGtO8ZA-8FI0GEN8_kFgrhhEeq_7fyTsACEwYBhgL/s72-c/28336141_1484975728280063_4389581750095049029_o.jpg)
WAZIRI MKUU ATARAJIWA KUWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fKxqO_dA8hc/Xkz19IsoILI/AAAAAAAAmww/pGtO8ZA-8FI0GEN8_kFgrhhEeq_7fyTsACEwYBhgL/s640/28336141_1484975728280063_4389581750095049029_o.jpg)
Waziri mkuu wa Jamhuli ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwasili mkoani humo kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya shughuli za kiserikali pamoja na za chama cha mapinduzi CCM.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti katika kikao na waandishi wa habari katika ofisi za mkoa huo.
Akitoa taarifa za ujio wa Waziri mkuu , mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti amesema waziri Majaliwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aicOCt-Df7k/Xk5qkxsHA7I/AAAAAAALeec/mB0GFkmf9Lwt2aW7W0vmqjo1hjV8J7K6gCLcBGAsYHQ/s72-c/e5f451a3-8467-4e5b-a1e1-a6859d760091.jpg)
WAZIRI MKUU KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI MKOANI KIGOMA
WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa anatarajiwa kuanza ziara ya siku mbili ya kikazi na ya chama cha mapinduzi(CCM)Mkoani hapa.
Akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia jenerali mstaafu Emanuel Maganga amesema kuwa waziri mkuu atawasili mkoani hapa kesho majira ya saa tatu na nusu asubuhi kwaajili ya shughuli maalum za chama cha mapinduzi(CCM)pamoja na shughuli zingine za kiserikali ikiwemo kupewa taarifa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
WAZIRI MKUU AWASILI MKOANI TANGA KWA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-zX1-jJ-lov4/VBQmggSRvjI/AAAAAAAGjaw/czyJRNih7M4/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WwDxPXtqPlk/VBQmhaedaqI/AAAAAAAGja0/G8tSWnxA_Vw/s1600/unnamed%2B(35).jpg)