JAMANI, MNAKULA GIZANI MNAMFICHA NANI?
![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDBVr1KWDuw3ZZcMfb0XkzB63j6T-G5c6LeNuI*Ra*5RIhMfzj5x-*52-jW8qSQqzCZM999bUcT-87Qkm3LUqqPu/LOVE8.jpg)
Mmh jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa wa jipu.Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnmk6QZEEFcacOSN4GSgJ7lKEdX1smPgPZ523fofPa6LU6YrjoZosTx0S8*dzCiETIYQnPfCgJsYoT5jmwQllepM/shangingi.jpg)
JAMANI, MNAKULA GIZANI MNAMFICHA NANI?-2
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: Dk Ashatu Kijaji – Naibu Waziri Fedha na Mipango
9 years ago
Mwananchi23 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Suzan Kolimba – Naibu Waziri Mambo ya Nje
10 years ago
Mwananchi21 Apr