Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii yatakiwa kuwathamini wagonjwa

CHAMA cha Maofisa Ustawi wa Jamii Tanzania (Taswo) Tawi la Mtwara, wameitaka jamii kuona umuhimu wa kuwasaidia na kuwathamini wagonjwa ikiwa ni pamoja na kuwatembelea hospitalini.  Wito huo umetolewa mwishoni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa kuwathamini wagonjwa

JAMII imetakiwa kuwajali na kuwathamini wagonjwa waliolazwa hospitalini ili nao wajisikie faraja. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam juzi na Mwenyekiti wa Kikundi cha Vicoba cha Women For Future...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa

JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutambua mchango wa walemavu

JAMII imetakiwa kutambua, pia kuthamini mchango unaotolewa na watu wenye ulemavu kwani watu hao wana uwezo mkubwa  katika kuchangia pato la familia na taifa. Ushauri huo ulitolewa na Agnes Machenje,...

 

11 years ago

Habarileo

Jamii yatakiwa kupunguza dawa za kulevya

JAMII imetakiwa kupambana na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya, ambazo zimekuwa zikiathiri nguvu kazi kwa vijana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kuthamini maofisa ustawi wa jamii

BAADHI ya wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wamesema serikali kutoitambua Idara ya Ustawi wa Jamii husababisha wataalamu wake washindwe kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika jamii. Akizungumza kwa niaba...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani

Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.

Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu

WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamii yatakiwa kusaidia watoto wa kike Mwanza

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ametoa wito kwa jamii nchini kuwasaidia watoto wa kike kukabiliana na changamoto za maisha na kuacha kujiingiza kwenye vitendo viovu.

 

9 years ago

StarTV

Jamii yatakiwa kuungana kuvidhibiti vitendo vya ukatili

Kukithiri kwa ukatili katika jamii nchini hakupaswi kufumbiwa macho na badala yake nguvu ya pamoja ya kudhibiti vitendo hivyo inahitajika ili kuwanusuru waathirika.

Kutokana na takwimu za Taasisi ya takwimu Tanzania za mwaka 2010 za vitendo vya ukatili ambavyo vimeshamiri katika mikoa ya kanda ya ziwa zinaonyesha kuwa mkoa wa Mara unaongoza kwa asilimia 66  na mikoa ya Mwanza na Geita ikifuatia kwa asilimia 56  kila mmoja wakati mkoa wa Kagera ukiwa na asilimia 49 ya vitendo hivyo.

Kauli ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani