Jamii yatakiwa kuwathamini wagonjwa
CHAMA cha Maofisa Ustawi wa Jamii Tanzania (Taswo) Tawi la Mtwara, wameitaka jamii kuona umuhimu wa kuwasaidia na kuwathamini wagonjwa ikiwa ni pamoja na kuwatembelea hospitalini. Wito huo umetolewa mwishoni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Watakiwa kuwathamini wagonjwa
JAMII imetakiwa kuwajali na kuwathamini wagonjwa waliolazwa hospitalini ili nao wajisikie faraja. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam juzi na Mwenyekiti wa Kikundi cha Vicoba cha Women For Future...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa
JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Jamii yatakiwa kutambua mchango wa walemavu
JAMII imetakiwa kutambua, pia kuthamini mchango unaotolewa na watu wenye ulemavu kwani watu hao wana uwezo mkubwa katika kuchangia pato la familia na taifa. Ushauri huo ulitolewa na Agnes Machenje,...
11 years ago
Habarileo01 May
Jamii yatakiwa kupunguza dawa za kulevya
JAMII imetakiwa kupambana na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya, ambazo zimekuwa zikiathiri nguvu kazi kwa vijana.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
Serikali yatakiwa kuthamini maofisa ustawi wa jamii
BAADHI ya wahitimu wa Chuo cha Ustawi wa Jamii wamesema serikali kutoitambua Idara ya Ustawi wa Jamii husababisha wataalamu wake washindwe kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika jamii. Akizungumza kwa niaba...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani
Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.
Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu
WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...
11 years ago
Mwananchi06 May
Jamii yatakiwa kusaidia watoto wa kike Mwanza
9 years ago
StarTV25 Nov
Jamii yatakiwa kuungana kuvidhibiti vitendo vya ukatili
Kukithiri kwa ukatili katika jamii nchini hakupaswi kufumbiwa macho na badala yake nguvu ya pamoja ya kudhibiti vitendo hivyo inahitajika ili kuwanusuru waathirika.
Kutokana na takwimu za Taasisi ya takwimu Tanzania za mwaka 2010 za vitendo vya ukatili ambavyo vimeshamiri katika mikoa ya kanda ya ziwa zinaonyesha kuwa mkoa wa Mara unaongoza kwa asilimia 66 na mikoa ya Mwanza na Geita ikifuatia kwa asilimia 56 kila mmoja wakati mkoa wa Kagera ukiwa na asilimia 49 ya vitendo hivyo.
Kauli ya...