January amkera Kinana
KITENDO cha kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), January Makamba, kutangaza nia ya kugombea urais kimekera vigogo wengi wa chama hicho akiwamo Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana, imefahamika. Kwa mujibu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM3qU5mJGNmtIs3Tg-y1-8ORW*Cp5Ga4-77xhKWPrMzCzVeTfe5Xt0zU7Tdn6ebjEVC9SO7PMbfHZfmbZ6WpptM/lUIZA.jpg?width=650)
MC AMKERA WAZIRI SHEREHE YA LUIZA
Na Issa Mnally/Mchanganyiko MSHEHERESHAJI wa onyesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kumpongeza mwimbaji kiongozi Luiza Mbutu kutimiza miaka 16 ya kuifanyia kazi mfululizo bila kuhama, Sakina Lyoka, Jumamosi iliyopita alimkera mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela Mkangara baada ya kukosea kutamka vizuri cheo chake. Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Ngasa amkera kocha Stars
WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Kevin de Bruyne amkera wakala wake
Wakala Wolfsburg Kevin de Bruyne akerwa na Patrick de Koster baada ya mchezaji huyo kuzungumzia mipango yake ya baadaye .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzn4ICuAlE5AkYnd20X2GqPIuGCWOMJPoGkU8OCVCbt*N1LHQKNMfu7T3AVbz55Q1P-YLjLYLAdVNlyuZbF3G5uwLB--1OjR/9.jpg?width=650)
TAMASHA LA TUONANE JANUARY (TUO8 JANUARY) LAFANA MJINI MOROGORO
Wasanii wa Hip hop katika anga ya muziki wa Bongofleva,Faridi Kubanda a.k.a Fid Q pamoja na Stamina wakilishambulia jukwaa kwenye tamasha la wazi la Tuo8January,hapo jana katika viwanja vya sabasaba mjini Morogoro. Msanii mwingine wa hip hop katika anga ya Bongofleva,ambaye amekuwa akifanya vyema kwenye muziki huo,Niki wa Pili akitumbuiza katika jukwaa la wazi la Tuo8Januari… ...
10 years ago
Bongo510 Mar
Tu8 January haina uhusiano wowote na January Makamba — Fid Q
Rapper Fareed Kubanda aka Fid Q amedai kuwa kampeni aliyoanzisha mwaka jana ya Tu8 January ambayo ilishuhudia kufanyika kwa ziara za wasanii katika baadhi ya maeneo nchini, haina uhusiano wowote na January Makamba. Akiongea kwenye kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya, Fid alisema kampeni hiyo ilijihusisha na kuwataka vijana kujitokeza kwenda kujiandikisha […]
10 years ago
Mwananchi12 Jul
January,makamba,wanaCCM,halmashauri,Taifa,January,Membe,wagombea,mapinduzi,chama,maoni,Amina,Migiro
Wagombea wa urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) wametoa maoni yao kwa kupitishwa katika tano bora.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s72-c/nat%2Bwa.jpg)
Nay wa Mitego Amvaa January Makamba..Adai January Ndio Mnunuzi Mkuu wa Akina Dr Slaa, Lupumba, Twaweza na Wasanii
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_PnGb88fgQ/VgbASRizfLI/AAAAAAAA1zI/5TLw9UWZiD8/s640/nat%2Bwa.jpg)
Msanii wa bongo fleva, Nay wa Mitego amemvaa mjumbe wa kamati ya Kampeni ya CCM,January Makamba na kudai yeye ni mnunuaji mkuu wa tafiti na wasanii kwa lengo la kukisaidia chama chake.Nay alimjibu January Makamba aliyepost ujumbe ukionyesha kushangaa tuhuma dhidi ya CCM kuwa imekuwa ikinunua wanasiasa,tafiti pamoja na wasanii kwa lengo la kuulaghai umma.
"Zitto kanunuliwa. Slaa kanunuliwa. Lipumba kanunuliwa. Twaweza imenunuliwa. Synovate...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania