January-Nimejipanga kushinda urais 2015
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema hakuna mwanasiasa yeyote anayemhofia kuwa kikwazo katika harakati zake za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutangaza nia hiyo Aprili mwaka huu. Januari alitangaza nia hiyo alipokuwa akihojiwa katika kituo cha Dira ya Dunia kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
January: Sitorudi nyuma kuhusu urais 2015
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
11 years ago
Mwananchi04 Jul
January: Nagombea urais 2015 kutekeleza vipaumbele vinne
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s72-c/J26A6326.jpg)
January Makamba achukua Fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-es9jY-U8ovY/VXhrokpnpEI/AAAAAAAAugU/qLszpihnk5Q/s640/J26A6362.jpg)
January Makamba akionyesha kabrasha lenye fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kushoto...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
JANUARY MAKAMBA ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS 2015 JANA DODOMA
10 years ago
Vijimambo08 Feb
BREAKING NEWS,TEDRO WATOA REPOTI YA VIJANA WANAOTEGEMEWA KUSHINDA URAIS 2015,MWIGULU NCHEMBA AONGOZA NDANI NA NJE YA CHAMA
![](https://scontent-a-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10987573_314170762126468_4444862125163843274_n.jpg?oh=b0ac3d0245feb898560a82b73719589f&oe=554B9286)
![](https://scontent-a-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10959827_314170808793130_2581586196878575730_n.jpg?oh=007637f5b1683e47309428f5b009044b&oe=55631043)
![](https://scontent-b-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/v/t1.0-9/10982078_314170725459805_5505480877373337490_n.jpg?oh=1e1a429fb364961843744eefb1b8c021&oe=55527715)
![](https://scontent-b-mad.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/10013318_314170705459807_1874896298161809323_n.jpg?oh=915153fe7ca540f8d9c7794bc0dc4d07&oe=554D44F9)
Hii ni sehemu ya ripoti hiyo iliyosomwa hii leo kwa waandishi wa habari Jijini Dsm,Ripoti kamili Kukujia hivi Punde.