January: Nagombea urais 2015 kutekeleza vipaumbele vinne
>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLJANUARY MAKAMBA ATANGAZA NIA YA URAIS, ATOA VIPAUMBELE VYAKE 5
9 years ago
StarTV31 Aug
ACT na vipaumbele vinne
Ni elimu, hifadhi ya jamii, afya na uchumi shirikishi, Zitto: Mabadiliko hayawezi kuletwa na watu walewale By Suzan Mwillo, Mwananchi Dar es Salaam. Chama cha ACT – Wazalendo kimezindua kampeni na ilani yake kikiahidi kuunda Serikali ya umoja wa kitaifa yenye vipaumbele vinne endapo kitapewa ridhaa ya kushika dola. Akizungumza jana kwenye uzinduzi uliofanyika katika Viwanja vya Zakhem Mbagala, jijini hapa, mgombea urais wa chama hicho, Anna Mghwira alisema Serikali hiyo itaundwa na viongozi...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
ACT yaahidi vipaumbele vinne
10 years ago
Habarileo22 Oct
January-Nimejipanga kushinda urais 2015
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema hakuna mwanasiasa yeyote anayemhofia kuwa kikwazo katika harakati zake za kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kutangaza nia hiyo Aprili mwaka huu. Januari alitangaza nia hiyo alipokuwa akihojiwa katika kituo cha Dira ya Dunia kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).
11 years ago
Mwananchi14 Jul
January: Sitorudi nyuma kuhusu urais 2015
11 years ago
Dewji Blog04 Jul
January Makamba atangaza kugombea Urais 2015.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
*Nape asema hakufanya makosa
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.
Makamba, mmoja wa makada wa CCM walioonywa na chama hicho baada ya kutuhumiwa kuanza kampeni mapema, alijipigia debe kuwa iwapo atapitishwa...
11 years ago
Michuzi04 Jul
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mzee Makamba atangaza kumnadi January urais 2015
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...