Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT na vipaumbele vinne

Ni elimu, hifadhi ya jamii, afya na uchumi shirikishi, Zitto: Mabadiliko hayawezi kuletwa na watu walewale By Suzan Mwillo, Mwananchi Dar es Salaam. Chama cha ACT – Wazalendo kimezindua kampeni na ilani yake kikiahidi kuunda Serikali ya umoja wa kitaifa yenye vipaumbele vinne endapo kitapewa ridhaa ya kushika dola. Akizungumza jana kwenye uzinduzi uliofanyika katika Viwanja vya Zakhem Mbagala, jijini hapa, mgombea urais wa chama hicho, Anna Mghwira alisema Serikali hiyo itaundwa na viongozi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

ACT yaahidi vipaumbele vinne

Chama cha ACT – Wazalendo kimezindua kampeni na ilani yake kikiahidi kuunda Serikali ya umoja wa kitaifa yenye vipaumbele vinne endapo kitapewa ridhaa ya kushika dola.

 

11 years ago

Mwananchi

January: Nagombea urais 2015 kutekeleza vipaumbele vinne

>Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ametangaza nia yake ya kuwania urais akisema huu ni wakati wa kupisha fikra mpya kuongoza dola, licha ya chama hicho kuzuia kutangaza nia na kupiga kampeni kabla ya muda.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijiji vinne kufundisha wakulima wao

Halmashauri ya Wilaya ya Ileje, mkoani Mbeya, imetangaza kuvisaidia vijiji vinne ili vizalishe mpunga kuanzia mwakani.

 

10 years ago

Habarileo

Kilimanjaro yatenga vituo vinne vya ebola

MKOA wa Kilimanjaro umetenga vituo vinne kwa ajili ya karantini ya wagonjwa wa ebola iwapo watathibitishwa kitaalamu kwamba wanaugua ugonjwa huo ili kuepuka madhara zaidi kwa jamii inayowazunguka.

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vinne havijaanza kampeni Dodoma Mjini

Zikiwa zimebaki siku 37 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu, vyama vinne vilivyosimamisha wagombea ubunge Jimbo la Dodoma Mjini, havijaanza kampeni kutoka na sababu mbalimbali ikiwamo ukosefu wa fedha.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’

Kundi la Sauti Sol la Kenya limewabwaga Diamond, Davido na wasanii wengine wawili wa Afrika katika kipengele cha ‘Best African Act’ cha tuzo za MTV EMA. Hata hivyo huo sio mwisho kwakuwa Sauti Sol sasa watahitaji kura za bara zima la Afrika kuwania kipengele cha ‘Worldwide Act’ Kuanzia leo, October 23, hadi 29 October wasanii […]

 

5 years ago

Michuzi

Visa vinne vipya vya coronavirus vyathibitishwa Kenya

Kulingana na waziri Kagwe visa vinne vilivyoongezeka vya COVID-19 vinalifanya taifa hilo kuwa na jumla ya visa 42, tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa tarehe 13 Machi.

Visa hivyo ni pamoja na Mkenya mmoja, raia mmoja wa Cameroon, Mmarekani mmoja na raia mmoja wa Burkina Faso . Akitoa taarifa kuhusu janga la coronavirus

Bwana Kagwe amewashauri Wakenya wote kushirikiana kuzuwia maambukizi ya corona badala ya kuuachia mzigo huo serikali pekee:'' Tunahitaji kufikiria jinsi ya kushughulikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani