Je, kupunguzwa kwa magavana ni suluhisho kwa mzozo wa Sudan Kusini?
Hatua ya rais wa Sudan kusini Salva Kiir kupunguza magavana italeta amani ya kudumu?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Mzozo wa Sudan kusini
10 years ago
BBCSwahili16 Feb
Watoto wanashiriki mzozo wa Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Juhudi kukomesha mzozo Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Pigo kwa waasi Sudan Kusini
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Lawama kwa viongozi wa Sudan Kusini
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
Pigo kwa mapatano Sudan Kusini
10 years ago
Habarileo22 Jun
Vita Sudan Kusini yazuia ajira kwa walimu nchini
SERIKALI imesema haiwezi kupeleka walimu nchini Sudan Kusini licha ya kuwa na soko kubwa la walimu kutokana na hali tete ya usalama nchini humo.
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
MEFMI yafanya majadiliano na magavana wa nchi za Afrika Mashariki na kusini
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali (wa kwanza kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Magavana wa Mashariki na Kusini mwa Afrika baada ya mkutano wa MEFMI.(Picha na Eva Valerian, Peru – Lima).
Katika kipindi hiki cha mikutano ya mwaka ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa, kumekuwa na mikutano mbalimbali inaendelea hapa nchini Peru. Mikutano hiyo inaendeshwa na Taasisi mbalimbali zenye utaalamu wa kiuchumi na kifedha....
9 years ago
StarTV02 Dec
Wafanyakazi 635 Tanzanite One kupunguzwa kazi kutokana na kupungua kwa uzalishaji
Wafanyakazi mia sita thelathini na tano wa Mgodi wa Tanzanite One wanaofanya kazi katika machimbo ya Tanzanite Mirerani Simanjiro wanatarajiwa kupunguzwa kazini kutokana na hali ya uzalishaji ya kampuni hiyo kutoridhisha.
Uamuzi wa kupunguza wafanyakazi hao umefikiwa na uongozi wa mgodi huo kwa madai kwamba ni kudorora kwa hali ya kifedha kwa kampuni hiyo kunakosababishwa na hali ya uzalishaji wa madini.
Akitolea ufafanuzi mchakato wa zoezi hilo katika eneo la mgodi huo wa Tanzanite...