Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je ni sawa kumnyonyesha mtoto hadharani?

Sasa hivi Facebook imebadilisha sheria zake kuhusu picha za wanawake wakiwanyonyesha watoto wao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Usipuuze kumnyonyesha mtoto

Kampeni ya kimataifa kuhusu unyonyeshaji watoto imeanza kote duniani na itaendelea kwa siku saba.

 

9 years ago

Mwananchi

VYAKULA NA MAGONJWA: Hatari ya kumnyonyesha mtoto maziwa ya kopo

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa maziwa ya mama ni chanzo kizuri cha lishe bora kwa watoto kuanzia wachanga na ni hakikisho bora la uhai na makuzi ya mtoto.

 

10 years ago

GPL

PENNY UNATAKA MTOTO SAWA, UNAKUMBUKA MADUDU ULIYOYAFANYA NYUMA?

Kwako mtangazaji, Penniel Mungilwa ‘Penny’, mambo vipi? Mishemishe za mjini zinakwendaje? Umejiandaaje na Sikukuu ya X-Mas? Binafsi mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu hakuchi kunakucha. Naendelea na majukumu yangu ya kila siku maana kazi yangu mimi ni kama ya madaktari, haina cha sikukuu, nitalala uzeeni lakini sa hivi acha niendelee kusaka matukio na kuwajuza Watanzania. Madhumuni ya kukukumbuka leo katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?

Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula  ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.


ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.


“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...

 

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

10 years ago

GPL

MAMBO HADHARANI

Stori: Hami da Hassan na Haruni Sanchawa
KIFO cha tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa (50) ambacho kimetingisha kanda nzima ya ziwa, kilichotokea dakika chache baada ya marehemu kudaiwa kufanya mapenzi ndani ya gari lake, sasa mambo hadharani juu ya kila kitu kilichotokea, Risasi Jumamosi linakupa mkanda mzima. Tajiri maarufu mjini Bukoba, Leonard Mtensa akichunguzwa na daktari. Tukio hilo lililozua gumzo mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waumbuana hadharani

Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Joyce Mukya ili afupishe ziara yake ya kikazi huko Marekani na kwenda Uarabuni kwa shughuli binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani