PENNY UNATAKA MTOTO SAWA, UNAKUMBUKA MADUDU ULIYOYAFANYA NYUMA?
![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3Oln3tkE82150YAuTg1S6s7Cnf9dwhYxOLaeFKiT80j2Wm1CL*i-lRzXqW7NgWPWg1x*bU6wANDrCCfGGY0*vYsc/ERICK.jpg)
Kwako mtangazaji, Penniel Mungilwa ‘Penny’, mambo vipi? Mishemishe za mjini zinakwendaje? Umejiandaaje na Sikukuu ya X-Mas? Binafsi mimi ni mzima wa afya, namshukuru Mungu hakuchi kunakucha. Naendelea na majukumu yangu ya kila siku maana kazi yangu mimi ni kama ya madaktari, haina cha sikukuu, nitalala uzeeni lakini sa hivi acha niendelee kusaka matukio na kuwajuza Watanzania. Madhumuni ya kukukumbuka leo katika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CoiS2F02ZPlyIr4yyf8ZF*poDk8vfRhPcu1uhIA3OnT9oE82N5Z5KuGsoIz2c3RXwD0U50eweLRQK*utos3rQtzx/Penny.jpg)
PENNY AGOMA KUULIZWA KUHUSU MTOTO WA DIAMOND
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIsDzJvBWoJjN0g-EFgP6kEbEInfunvvLhjzzAJ1e*BR20tSjWZciB3kuqV49t*hHE1XjUmFCYq07ZcUeECWqKrO/Penny.jpg)
PENNY: NATAMANI MTOTO, SINA WA KUZAA NAYE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwLKrbTsLCIdL2Av5cPR5*HQMbXYwanimjTvxrekfSRdJwvQllV*PIVNAWWd1KCYqyQ*jmQxsGCcG7bfuln1S4SD/d.jpg?width=650)
MTOTO AZALIWA BILA UBONGO WA NYUMA!
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Je ni sawa kumnyonyesha mtoto hadharani?
10 years ago
Bongo Movies13 Jun
Johari: Nina mtoto sawa, mnataka kumjua baba yake ili iweje?
Staa wa Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ amedai kushangazwa na watu wanaoshindwa kufanya mambo yao binafsi na kuanza kufuatilia maisha yake pamoja na mtoto wake.
ohari ameiambia Bongo5 kuwa anaishi kwa furaha na mwanae licha baadhi ya watu kumfuatilia na kutaka kujua mtoto wake amezaa na nani kitu ambacho hapendi kukiweka wazi kwa sasa.
“Sidhani kama kuna mtoto ambae anakosa baba,” amesema muigizaji huyo.
“Siku nitapokuwa tayari nitamweka wazi baba yake ili waridhike. Kwa sababu...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Sitta unakumbuka ahadi hii!
UPO usemi kwamba ukiwa muongo, basi uwe na kumbukumbu ya kile ulichokisema jana yake. Hivi ndivyo naweza kumkumbusha Samuel Sitta, Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalum la Katiba ambalo lilikutana kwa...
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo