Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je nyama hii ndio chanzo cha Ebola?

Nyama wa wanyama wa msituni ndio inaaminika kuwa chanzo cha mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola ambao umekuwa janga kwa mataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Rapper mpya? Baada ya Magufuli, Papa Francis atrend Twitter na #PopeBars, picha hii ndio chanzo

3596

Weusi, Fid Q na rappers wengine kaeni chonjo sababu Papa Francis anataka crown yake!

3596

Picha ya kiongozi huyo mkuu wa kanisa katoliki duniani akiongea huko Bangui, Jamhuri ya Afrika ya Kati, imesababisha atrend kwenye Twitter kwa hashtag #PopeBars.

Papa anaonekana akiwa ameshika kipaza kama vile wanavyoshika rappers na hivyo kuifanya picha hiyo iwe gumzo mtandaoni.

Wakitumia hashtag ya #PopeBars watu wamekuwa wakiandika mashairi wanayodhani kama Papa angekuwa rapper akenguwa akiyachana.

Haya...

 

9 years ago

Bongo5

Michael Ross wa Uganda awachana Ma DJ na Mashabiki kuwa ndio chanzo cha kutosikika sana

Michael Ross

Wanamuziki huwa wanakutana na changamoto nyingi katika kazi zao, zikiwemo lawama za kutotoa kazi kwa wakati, lakini pale wanapotimiza majukumu yao bado wanakosa support kutoka kwa hao hao mashabiki.

Michael Ross

Muimbaji wa R&B kutoka Uganda, Michael Ross ameamua kabla ya kuuaga mwaka 2015 kutoa ya moyoni , na kujibu swali ambalo amekua akikutana nalo mara kwa mara la kwanini hasikiki sana kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Kupitia Facebook Michael ametoa majibu ya swali hilo:

“Nakutana na watu wengi...

 

5 years ago

Michuzi

KAIMU MSAJILI BODI YA NYAMA TANZANIA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KIWANDA KIKUBWA CHA NYAMA CHA TANCHOICE

Na Mwandishi Wet u,Michuzi TV

KAIMU Msajili Bodi Ya Nyama Tanzania Iman Sichalwe amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya ujenzi wa kiwanda kikubwa cha nyama cha Tanchoice Soga kibaha mkoani Pwani.

Kiwanda hicho ni kikubwa Afrika Mashariki na Kati kwenye Sekta ya mifugo na kutajwa kuwa mkombozi mkubwa kwa wadau wa sekta ya nyama Nchini Ambapo kitakuwa na uwezo wa kuchinja ng'ombe 1000 na mbuzi 4500 kwa siku.

Akiwa kiwandani haoo baada ya kufanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Sababu Kipindi cha TV cha Rose Ndauka Kuota Mbawa

Staa wa Bongo Movies, Rose Ndauka ambaye miaka miwili iliyopita alianzisha kipindi chake cha TV kilichopewa jina la ‘Family Talk Show’. Kupitia kampuni yake, muigizaji huyo alianza kurekodi episodes kadhaa za show hiyo ili zianze kuruka kwenye TV.

Hata hivyo kipindi hicho hakijawahi kuonekana na ni kama kiliishia hewani. “Kipindi changu.. niliibiwa vitu vyote ofisini lakini ndoto yangu ya utangazaji iko pale pale,”  Hivi majuzi Rose aliiambia Kabali ya EFM.

Mwanzoni mwa mwaka 2013, Rose...

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)

Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]

The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...

 

11 years ago

Michuzi

New City Pub ndio Mabingwa wa Safari Nyama Choma 2014 jijini Mbeya

Kaimu Mkurugenzi wa jiji la Mbeya, Dk.Samweli Lazaro (katikati) na jaji Mkuu wa mashindano ya Safari Nyama Choma, Lawrence Salvi (kulia) wakimkabidhi zawadi ya Kombe na fedha taslimu Shilingi milioni moja(1,000 000) mpishi Mkuu wa New City Pub, Geofrey Mwashilindi mara bada ya kuibuka mabingwa wa mashindano ya Safari Nyama Choma 2014 yaliyojanyika katika Viwanja vya CCM Ilomba Mkoani Mbeya mwishoni mwa wiki .Wapili kulia ni Meneja wa bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo na Meneja wa Tawi...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani