Je Rais mpya wa Burundi Jenerali Evariste Ndayishimiye anakabiliwa na changamoto zipi
Rais mpya wa Burundi Jenerali Evariste Ndayishimiye anachukua rasmi mamlaka ya urais nchini Burundi leo baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi urais mwezi huu. Lakini je ni changamoto zipi atakazokabiliana nazo kama kiongozi mpya?.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili18 Jun
Evariste Ndayishimiye: Aapishwa kuwa rais mpya wa Burundi
Maelfu ya raia wa Burundi wamefurika katika uwanja huo kushuhudia kuapishwa kwa rais huyo kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza.
5 years ago
BBCSwahili25 May
Evariste Ndayishimiye: Mfahamu rais mteule wa Burundi na mwandani wa Nkurunziza
Jenerali Ndayishimiye, ni mwandani wa karibu wa rais Pierre Nkurunziza, amekuwa katibu mkuu wa CNDD-FDD tangu mwaka wa 2016.
5 years ago
BBC18 Jun
Burundi’s Evariste Ndayishimiye to be sworn in as president
Evariste Ndayishimiye's inauguration is fast-tracked following the sudden death of his predecessor.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zQ2pP5BJqrWQ60Lu2WE0PGXxGaS2qz4gDFZjM-Gal5Rb-j8aSoCYIwgYmnKKc*Qar57FaGt0IJbJpEv279sBhXVVP03Klrmn/150331202522_buhari_624x351_redmediaafrica.jpg?width=650)
JENERALI MUHAMMAD BUHARI: RAIS MPYA NIGERIA
Rais mteule wa Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria, INEC, Attahiru Jega amemtangaza rasmi Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria Jenerali Muhammadu Buhari kuwa rais wa taifa hilo kubwa barani Afrika baada ya kumbwaga rais wa zamani Goodluck Jonathan. Wafuasi wa Jenerali Buhari wakishangilia… ...
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Jenerali Buhari ndiye rais mpya wa Nigeria
Mgombea wa Upinzani nchini Nigeria, Muhammadu Buhari wa chama cha upinzani cha APC amemshinda Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliokuwa na ushindani mkubwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AMTUMIA SALAMU ZA PONGEZI RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Magufuli ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kuongeza kuwa wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwa kumchagua kiongozi hiyo.
“Nakupongeza Ndg. Evariste Ndayishimiye kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Burundi. Wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwako,” ameandika Rais Magufuli.
Aidha, amewatakia heri wananchi katika shughuli za ujenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s72-c/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
CGP SULEIMAN MZEE APANDISHWA CHEO NA RAIS MAGUFULI TOKA BREGEDIA JENERALI KUWA MEJA JENERALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-99HEHm0ZvM0/XtevPQgzmTI/AAAAAAALshk/5ELLomRu-SI5EU2yx-2uhE1OqLszJjSBwCLcBGAsYHQ/s640/fa1a6d32-476f-4aa3-931d-bc28043d47dd.jpg)
Meja Jenerali Suleiman Mzee ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, akizungumza na Maafisa na askari wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza(hawapo pichani) mapema leo Juni 3, 2020 katika hafla fupi ya kumpongeza iliyofanyika Ofisi za Makao Makuu ya Magereza leo Juni 3, 2020, jijini Dodoma. Meja Jenerali Mzee amepandishwa cheo hicho na Rais na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania