Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania? Fursa ndio hii sasa!
![](http://2.bp.blogspot.com/-hxJqluUMlXQ/VkhYHI-0A0I/AAAAAAAIF6s/Pb69G-O-eX4/s72-c/re.png)
Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu. Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.
Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Je, umejaribu #RecruitMe unapotafuta ajira Tanzania?
Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa duniani kote. Hili linasikitisha kwa kuwa kazi ni chanzo cha heshima binafsi, amani na utulivu.Tanzania, miongoni mwa nchi za dunia ya tatu, imechukua hatua muhimu katika kuendeleza sekta yake ya ajira, japo bado inakabiliwa na changamoto kubwa katika hilo. Asilimia kubwa ya watanzania wenye uwezo wa kufanya kazi, aidha hawana ajira au ajira walizonazo haziendani na uwezo wao.
Kutokana na ushindani mkubwa katika soko la ajira na ongezeko kubwa la vijana...
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Hii ndio ‘Mwanza City Commercial Complex ‘ inavyoonekana kwa sasa..(Picha)
Katikati ya Jiji la Mwanza kiko hiki kitu kizuri, kama uliwahi kupitia millardayo.com basi huenda uliwahi kukutana na pichaz zikionesha ‘Mlimani City ya Mwanza‘ ikiwa kwenye ujenzi. Sasa good news ni kwamba kesho ni utambulisho wa shopping mall, ambapo kutakuwa na burudani na michezo ya aina yake, ripota wa millardayo.com amefanikiwa kumpata Katibu wa Kampuni ya Mwanza […]
The post Hii ndio ‘Mwanza City Commercial Complex ‘ inavyoonekana kwa sasa..(Picha) appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Brightermonday Tanzania yatoa fursa kwa wanaotafuta ajira kuwatembelea kwenye maonyesho ya Sabasaba
Meneja Masoko wa kampuni ya Brightermonday Tanzania, Lugendo Khalfan ndani ya hema la banda la Jakaya Kikwete akiwa tayari kukuhudumia wewe mtanzania utakayetembelea banda lao katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, yanayoendelea kurindima kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.( Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Na Modewjiblog team
Watafuta ajira kote nchini Tanzania wamehamasishwa kujisajili na tovuti ya Brighter monday ili...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
HII NDIO MAANA HALISI YA "SISI NI TANZANIA MPYA"
![](https://1.bp.blogspot.com/-IYNVEV2uFEc/XkmP_5n8JcI/AAAAAAALdpA/MxWior1ipc48Of3YJVUFwQfmBIce67YiQCLcBGAsYHQ/s640/8c8988d3-f21d-49b4-a7de-16e42f87d4de.jpg)
1. Tanzania Leo hii ni nchi ya 7 kwa uwekezaji Afrika.
2. Tanzania ya Leo imepanda kwa nafasi 13 katika Mwaka 2016 na Mwaka 2017 na pia ikishika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.
3. Tanzania ya Leo uchumi umekuwa hadi kufikia asilimia 7.2 toka asilimia 5.1 ya hapo awali.
4. Tanzania ya Leo Elimu kuanzia ya Msingi hadi ya Sekondari ni bure. Hapa adui ujinga anapigwa Vita kwa vitendo.
5. Tanzania ya Leo ina miliki ndege zake takribani...
10 years ago
Dewji Blog19 Aug